pe.livinuu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 502
- 114
demu wako yukoje???
mfupi sanaaaa alafu hana shepu
au mnene sana hana shepu
CHAGUA KATI YA HAYO MAWILI
natamani kujua kibonge na mwembamba yupi mtamu katika uwanja wa sita kwa sita
Mmh missing you dearKuku na bata nani anamanyoya mengi
Hebu acheni kutudharirisha hapa,mbona sisi hatuwachambui?
Tobaaaaaaa!!!
Nikipata wa hivi lazima nikubali anitawale ili nimfaidi vizuri.
hapo ukichunguza vzr ndo utagundua na wadada na wengi wa aina hiyo wanapenda wanaume wanene.
Jimama liloshiba kuongozana nalo ni raha - asikudanganye mtu. Vimbaumbau vinapaswa kutunzwa tu majumbani. Mtoa mada Jaribu siku moja kulichukua mke aloshiba lakini awe na figure ya kike, usije chukua asiyekuwa na mipaka, kichwa, shingo, tumbo kiuno vimerundana - hakuna atakayekuangalia.
mwanamke mwembamba kwangu hatakiwi kbs,siwapendi! Hawana pa kushika kbs,nyamanyama ina raha yake bwn
wembamba oyeeeeeee mungu atupe nn.
mbona mnawaambia wafanye mazoez kama hvyo,,,,, kama wanene ndo dili,,,,, na sie wanaume wanene hatuwapendi,,,,, hamna mvuto,,,,
La la la kumbe naweza gonganisha humu.
wembamba oyeeeeeee mungu atupe nn.
nikwel lkn mvuto wa mwanamke ni yy mwenyewe anavyojithamin aijalishi mwembamba,mnene,mrefu au mfup!!