Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Mwanamke mnene na mwembamba yupi anamvuto kimapenzi kwa wanaume? Kama uteuzi umekuteua jaji utoe vigezo vyako,utaegemea upande upi na kwa vigezo vipi kati ya makundi haya mawili ya wanawake?
 
Mwanamke mnene na mwembamba yupi anamvuto kimapenzi kwa wanaume? Kama uteuzi umekuteua jaji utoe vigezo vyako,utaegemea upande upi na kwa vigezo vipi kati ya makundi haya mawili ya wanawake?

Unene wa namna gani kama hayati OMAGA,MARK HENRY,BIG SHOW,ASHA BOKO au mwembamba wa namna gani kama Jay dee,Riana, au???
 
Utamu,Uchachu au Uchungu wa chakula unategemea na Ulimi wa Muonjaji.
 
Kila mtu anachoice yake nadhani maana kwa mfano mimi sipendi hao wanene wala wembaba just awe medium size aende hewani kimtindo vinyama vya kushika kwa mbaaali na ndo huyo nshampata chaguo lamoyo wangu...
 
aisee mnene saiz ya kati ni mtamu balaa inabana tofauti na nyembamba ambayo ni lambo.
 
Mwanaume akiwa na dusherere la kutosha awe mwanamke mwembamba au mnene haijalishi tatizo akiwa na kibamia ndio hayo yanaanza kumbe yeye ndio tatizo anakuwa haji amini anaogopa mwanamke mnene kitu kitachomoka

Duuh hili ndio jbu lao..
 
Kila mtu atajieleza kutokana na aina ya mpenzi aliyenaye cuz huwezi kusema unavitiwa na mnene wakati mpenzi wako ni mwembamba and vice-versa.Kwa kifupi mapenzi ni kuridhika na kufika upatakapo so hili swali inabidi liwaendee wale wasiokuwa na watu Wa kudumu.
 
Of course mke wangu ni saizi ya Kati n she iz very........Na kuna jamaa yangu mke wake ni mwembamba na huwa anasema she iz very....Sasa kila hutafsiri kutokana na undani Wa mtuwe.
 
Kwnz Kabsa Ninang'oa Kila roho Ya Zinaa Kwny Mada Hii Kwa Damu Ya Yesu Kristo.

Si Mwembamba Wala Mnene Anaevutia Ktk Mapenzi, Bali Ni Upendo Wa Dhati Alionao Mume Kwa Mkewe,au Mke Kwa Mumewe. Na Pia Namna Ratiba Zenu Mnavyopanga Za Kukutana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…