Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
skia nseme,
kla m/mke anaraha yake mcdanganyane,
ndomana waislam wakapewa ruhusa ya kuoa wake 4, oa ujione hyo tofaut!
Ndugu, tunakusubiria huku.Mbona kimya.Au kesho gani hiyo?pigen kelele! hata siku tano! wembamba hapa mjini ndo wanafunga kazi! naomba kesho mrudi apa natoa MATOKEO BILA UPENDELEO
Funguka wanene wachaf bnaaa
Modo mwenye mgongo ndo mpango mzma
be blessed. minene maji mengi. samahanini lkn.
Njoo na ndoo ukinge, Ruvu kumekauka
Raha ya nyama mfupa, nyama yenye mfupa tamu sana kiongozi.
Swali lako halina jibu...kila mmoja mtamu inategemea. Kwani mwanaume kibonge na mwembamba yupi mtamu?
Wewe lazima utakua mzee si bure!!
Unene wa namna gani kama hayati OMAGA,MARK HENRY,BIG SHOW,ASHA BOKO au mwembamba wa namna gani kama Jay dee,Riana, au???