ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,569
- 2,847
Mm mbona mke wangu ananipenda na nna kitambi hasa.Hivi kuna mwanamke anapenda mwanaume mwenye kitambi kama kindoo cha lita 10 cha korie utazani kesho mtamsindikiza huko?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah wewew hata sio chibonge unataka uwe chibonge kuna tofauti hapoNaona unatusema vibonge
Hahaha akha sitaki kuwa bongeHahah wewew hata sio chibonge unataka uwe chibonge kuna tofauti hapo
Mie nikajua kuwa wanawake wanataka wavimbe vimbe minyama ndio dealHahaha akha sitaki kuwa bonge
Mimi sipendi mwanaume mwenye kitambo...napenda mwanaume Slim...Yaaani ukiwa kibonge usinitongeze...navutiwa Sana na wanaume wenye miili ya kawaida Kama my luv wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
msijal mungu atawapa wakufanana nanyieMhh sisi wafupi na wanene.......pole yetu
Wote wanafaa kila mtu na chaguo lake.Kwa walio oa na wasio oa naomba leo iweni wawazi, japo mtatoboa siri za wenzi wenu mnao wapenda, najua watatuwia radhi kwani nahitaji kujua. Kuna tofauti ati kati ya hawa wawili, wengine eti sijui wembammba wanahasira kuliko wanene, no proof.
Kuna mengi ambayo yanasemwa mitaani, lakini najua wewe msomaji unajua .
Naomba mseme ukweli kuna raha gani kati ya hawa wawili kwenye ndoa??
Tafadhali naomba nidhamu ama sivyo nitachagua kiranja.
Soma pia:
1) Kama unapenda mwanamke mwembamba usinicheke ninayependa mwanamke mnene - JamiiForums
2) Sifa za wanawake/wadada wanene - JamiiForums
3) Sifa za wanawake wembamba - JamiiForums
4) Tofauti 10 kati ya wanawake wanene na vimbaumbau hizi hapa - JamiiForums
5) Tofauti kati ya mwanaume mwembamba na mnene katika mapenzi - JamiiForums