Pole sana kama nawewe ngozi yako haina mvuto!Aisee wanaume wa siku hizi mnapenda kulalamika vitu vidogo Sana......kwaiyo tukusaidiaje??
Mkuu fuata kuna ushauri umetolewa hapo juu, katafute vilainishi ngozi uwe nyororoKama unaona hakufai si umuache? unalalamika ili sisi tukwambie kipi kipya unachotaka kusikia?
mimi tena au wee umpelekee mwanamke wako? cha kukuongezea mwambie atumie mafuta ya nazi yatamsaidiaMkuu fuata kuna ushauri umetolewa hapo juu, katafute vilainishi ngozi uwe nyororo
Ndio nimempoteza hivyo but nitamfikishia huu ujumbemimi tena au wee umpelekee mwanamke wako? cha kukuongezea mwambie atumie mafuta ya nazi yatamsaidia
Sawa mvulana.....wanaume wanazidi kupungua kila sikuPole sana kama nawewe ngozi yako haina mvuto!
SawaNdio nimempoteza hivyo but nitamfikishia huu ujumbe
Niwe muwazi tu, ngozi nyororo ni kigezo kwanguSawa mvulana.....wanaume wanazidi kupungua kila siku
Teh teh kumbe we mvulana wa dar....pole sanaNiwe muwazi tu, ngozi nyororo ni kigezo kwangu
Kama kitanipotezea uanamume basi watu wa mikoani mnatasbu sana
Ahhhh mkali wwKama unaona hakufai si umuache? unalalamika ili sisi tukwambie kipi kipya unachotaka kusikia?
Pole nawe wa mkoaniTeh teh kumbe we mvulana wa dar....pole sana
Ngozi nyororo ni kivutio na sidhani kama hiki kigezo kitabadilika kwanguukikua utaacha kuwaza hivyo.
Mkali wa kitu gan?Ahhhh mkali ww
vizuriNgozi nyororo ni kivutio na sidhani kama hiki kigezo kitabadilika kwangu