Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Hahhahaha najua hukupewa bure ila ulikuwa na kitu cha ziada mbele ya mtoto waoUsijali mkuu...
Huyu nilipewa bure kabisa...[emoji12][emoji12]
Son naona umeamua umdalalie mama yako kabisa🤣🤣🤣Jael miss you [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Son naona umeamua umdalalie mama yako kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa mimi nina mahitaji rundo halafu sina uwezo wangu mwenyewe, itakuwaje sasa[emoji134][emoji1745][emoji1745][emoji1745]
Mwambie uncle ikitokea amefikia ile hatua ya "hata wenye mahitaji waje tu" unistue son.