Mdakuzi mkuu
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 212
- 720
[emoji37] [emoji37] [emoji37]Hii ya leo kali.Taratibuni mtatukosesha kwa vijana jamani.....lol
Unajua maaana ya povu au umekurupuka?Uliza maana ya povu halafu urudi tena[emoji37] [emoji37] [emoji37]
Povu povu povu!!
Naona hapa ndo umetoa povu rasm hahahaha !Unajua maaana ya povu au umekurupuka?Uliza maana ya povu halafu urudi tena
Povu ni mchanganyiko wa maji na sabuni ambao hutumika katika kufanya usafi wa vitu au sehemu mbalimbali km kupiga deki,kufua,kuosha vyombo nk.Unajua maaana ya povu au umekurupuka?Uliza maana ya povu halafu urudi tena
HahahahahahahahNaona hapa ndo umetoa povu rasm hahahaha !
DuhIshu hapo ni papuchi ili umwage oil, hayo ya umri kwani unataka kuoa
Hii ya leo kali.Taratibuni mtatukosesha kwa vijana jamani.....lol
Kuna watu wana baby face si rahisi kuwatambuaMtu mzima anaonekana hata ukimuangalia usoni tu
Huko katika viganja mbali sana
Alaaaa kumbe nimeelewa kituZa mchana ndugu zangu wa hapa JF.
Leo nakuja na style ambayo wanawake mjini (hasa wamama) ambavyo wamekuwa wakidanganya wanaume kuhusu umri. Unakuta mtu anavaa au kujipamba kibintibinti ili kuwavutia vijana wa mjini waingie mkenge wa kutembea nao.
Simply we mkague vzr kwenye viganja vyake, shingoni, mabegani na magotini. Huwa lazima mishipa iwe imemtoka sana na kuna mikunjo.
Kama ni mweupe, mishipa yake huonekana sana tena ikiwa na rangi nyeusi. Anakuwa na ramaniramani sana ya mishipa nyuma ya kiganja chake.
Hapo ujue umeliwa, mkimbie haraka sana.
Je mwanaume mzima utambuliwa kwa?Za mchana ndugu zangu wa hapa JF.
Leo nakuja na style ambayo wanawake mjini (hasa wamama) ambavyo wamekuwa wakidanganya wanaume kuhusu umri. Unakuta mtu anavaa au kujipamba kibintibinti ili kuwavutia vijana wa mjini waingie mkenge wa kutembea nao.
Simply we mkague vzr kwenye viganja vyake, shingoni, mabegani na magotini. Huwa lazima mishipa iwe imemtoka sana na kuna mikunjo.
Kama ni mweupe, mishipa yake huonekana sana tena ikiwa na rangi nyeusi. Anakuwa na ramaniramani sana ya mishipa nyuma ya kiganja chake.
Hapo ujue umeliwa, mkimbie haraka sana.