Mwanamke mtu mzima hutambulika kwa kiganja chake

Mdakuzi mkuu

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2016
Posts
212
Reaction score
720
Za mchana ndugu zangu wa hapa JF.

Leo nakuja na style ambayo wanawake mjini (hasa wamama) ambavyo wamekuwa wakidanganya wanaume kuhusu umri. Unakuta mtu anavaa au kujipamba kibintibinti ili kuwavutia vijana wa mjini waingie mkenge wa kutembea nao.

Simply we mkague vizuri kwenye viganja vyake, shingoni, mabegani na magotini. Huwa lazima mishipa iwe imemtoka sana na kuna mikunjo.

Kama ni mweupe, mishipa yake huonekana sana tena ikiwa na rangi nyeusi. Anakuwa na ramaniramani sana ya mishipa nyuma ya kiganja chake.
Hapo ujue umeliwa, mkimbie haraka sana.
 
Unajua maaana ya povu au umekurupuka?Uliza maana ya povu halafu urudi tena
Povu ni mchanganyiko wa maji na sabuni ambao hutumika katika kufanya usafi wa vitu au sehemu mbalimbali km kupiga deki,kufua,kuosha vyombo nk.
 
Ishu hapo ni papuchi ili umwage oil, hayo ya umri kwani unataka kuoa
 
ngoja nipite kwanza ntakomenti badae,,,
 
Hayo yote Mimi huwa siangalii. Huwa nawaambia wanionyeshe vyeti vya kuzaliwa. Mchina katuharibia sana! Anaweza kuwatengenezea mavitu ya kutoa hiyo mi-alama.
 
plus hiyo juu pia mimi huwa nawajua kwa paji la uso,Mikono minene,tumbo pia unakuta amelibana hadi anashindwa kuhema vizuri
 
Alaaaa kumbe nimeelewa kitu
 
Je mwanaume mzima utambuliwa kwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…