Mwanamke mtulivu, mkomavu, anayejielewa na muelewa. Tafadhali kama huna hiki kigezo cha awali pita mbali

Kwa mapdri sawa hao tunaita waasi ila masista njoo inbox nikutonye hapa watanifokea.
🤣🤣🤣 Unataka unipange? Haya maongezi yetu hakuna anayesoma,watu wapo busy na bandari ya wadubai
 
Sie wa la Saba B tupite hivi
Kila la kheri bro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…