iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 440
- 1,086
Huyu unatafuta kulelewa tu, mwanaume tafuta pesa acha kutegemea kipato cha mkeNatafta Mwanamke mwalimu & Nurse alie tayari kwaajiri ya ndoa anicheck kwa namba yangu [emoji117] 0757 692 993
Awe ameajiriwa au awe amesomea hizo taaluma??
Huyu unatafuta kulelewa tu, mwanaume tafuta pesa acha kutegemea kipato cha mke
wanakuja,,, wamepata kazi kigoma na Mara huko š«±š¼āš«²š¾š«±š¼āš«²š¾š«±š¼āš«²š¾š«±š¼āš«²š¾š«±š¼āš«²š¾š«±š¼āš«²š¾Awe mwajiliwa [emoji1666]
Another Man Down š šNatafta Mwanamke mwalimu & Nurse alie tayari kwaajiri ya ndoa anicheck kwa namba yangu [emoji117] 0757 692 993
We sema aliosomea hizo sio anao fanya hizo kazi, kunatofauti kubwa.Una uhakika gani..?
Soma kwanza kisa cha Baltasar wa Equatorial Guinea kisha utakari, halafu uone kama huu uzi uendelee kuwepo ama la!.
wapo wengi mbona, na serikali haijatoa ajira, wengine wamekuwa mafundi cherehani, we pita pita kwenye hizo ofisi za mafundi cherehaniNatafta Mwanamke mwalimu & Nurse alie tayari kwaajiri ya ndoa anicheck kwa namba yangu [emoji117] 0757 692 993
wapo wengi mbona, na serikali haijatoa ajira, wengine wamekuwa mafundi cherehani, we pita pita kwenye hizo ofisi za mafundi cherehani
Mwalimu&nurse ana pesa gani ya kumlea mtu?Huyu unatafuta kulelewa tu, mwanaume tafuta pesa acha kutegemea kipato cha mke
Unataka š¤£nini mzee kwa hao watu kufungua twisheni au unataka kufungua dispensary mkuiNatafta Mwanamke mwalimu & Nurse alie tayari kwaajiri ya ndoa anicheck kwa namba yangu [emoji117] 0757 692 993
kekHeheheeeeee yatakukuta ya kipara wa Guinea manesi wanaanza kutombesher kwa madokta humo humo hospitali kisha hadi kwa wagonjwa walimu nao kwa maafisa elimu na wa halmashauri hawajambo
unahitaji walimu au waajiriwaNahitaji waajiliwa