Ana Makinda.
Ana Makinda.
So tunataja majina tu halafu basi?
mfano niseme Hidaya sitamsahau...end of story?
Msichana sitakaa ni msahau ni mama yangu na mwanaume mwenzangu Anbar sitaweza kunsahau ni baba yangu...
Mmmh alikukoleza sana kipindi hchoMm yule anaeishi tanga yaan mwafulani siwez msahau katu hata nikiolewa
Aliyenibikiri... Siwezi msahau