Javis Elias Balilemwa
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 489
- 67
Rahma Salum, Mgido aliyechanganya na Mpare. Tanga kunani wakati wa A-Level Usagara
Leonard Robert Pita mbali na mim kabisa, wala usicoment kwenye post yangu yoyote pleasee!!!! Maana unaniletea ibilisi moyoni bila sababu, naomba assume damu zetu haziendani ivo shika lako nashika langu, Nampa Mungu yaliyo yake Mungu na Kaisari yaliyo ya kaisari, so uninichokonoe ukitegemea nitakujibu AMeen!!! Haipo hiyo najua umeelewa vema
Labda wewe ulikuwa unatakaje, tutie na kastor kidogo
Bado sijampata wa kumkumbuka,namsubiri
Mi sitawasahau hawa wachuchu....
1] Tecla
2] Tatizo
3] Shinunu
4] Fatuma
5]Tatu
Shinunu yule wa TBC?
Tatizo ni real name?
Sina hakika kama huyo wangu siku hizi anafanya kazi TBC
Na ndiyo, Tatizo ni jina la ukweli.
Hujawahi kusikia au kukutana na mdada yeyote aitwaye Tabu?
Tabu na Shida nimesikia
but Tatizo not yet
Huyo Fatuma alikuwa kabila gani?
nikisoga jina lako huwa nakumbuka mbali sana
We nawe?? sasa ndo nn??!
Kwa maneno yako tu...ww humpendi yesu wala yesu akupendi ww....
Fatuma ni Mzigua....
Siku hizi anamiliki na kuendesha saluni na duka la urembo pale karibu na shule ya msingi ya Mapambano....
Unaijui hiyo shule...?
Ashley Judd
Wewe mbona hujataja wako?
Haaaa alikufanyaje lol...
Au ukisema hasira zinazidi zaidi
I'm sorry for breaking your heart.
Habari wana Jf,
Hivi ni msichana yupi au mwanaume yupi hutakuja kumsahau katika kipindi chote.