Mwanamke mwenye adabu zake anaehitaji kuolewa mwaka huu

Mwanamke mwenye adabu zake anaehitaji kuolewa mwaka huu

medicine

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2015
Posts
216
Reaction score
137
Nahitaji mwanamke mwenye hofu ya Mungu,asiyetaka tena maisha ya kuchezewa ovyo, anaehitaji ndoa ili apate heshima anayostahili kama mke wa mtu.

Umri miaka 19-28
Elimu kidato cha 4 na kuendelea
Rangi yoyote .
Kabila lolote.
Mkoa wowote .

Mi umri wangu miaka 28
Ninajimudu kimaisha.
Mwenye bahati yake aje PM.
 
Ok kila la Kheri,Mungu akufanikishe..

Ila your not serious Chief

Kwamba unataka mwanamke ambaye hataki tena kuchezewa kweli?

Imekuwia ugumu gani kusema,Mwanamke aliyetulia(bikra) + hofu ya Mungu.

Ok utapata wa kufanana nae,kwa sabbu na wewe hutaki tena kuwachezea.
 
Ok kila la Kheri,Mungu akufanikishe..

Ila your not serious Chief

Kwamba unataka mwanamke ambaye hataki tena kuchezewa kweli?

Imekuwia ugumu gani kusema,Mwanamke aliyetulia(bikra) + hofu ya Mungu.

Ok utapata wa kufanana nae,kwa sabbu na wewe hutaki tena kuwachezea.
Mkuu nipo serious kbs,Mungu aniletee mtu wa kufanana nae aisee[emoji120]
 
Nahitaji mwanamke mwenye hofu ya Mungu,asiyetaka tena maisha ya kuchezewa ovyo, anaehitaji ndoa ili apate heshima anayostahili kama mke wa mtu.

Umri miaka 19-28
Elimu kidato cha 4 na kuendelea
Rangi yoyote .
Kabila lolote.
Mkoa wowote .

Mi umri wangu miaka 28
Ninajimudu kimaisha.
Mwenye bahati yake aje PM.
Namba please
 
Unataka walijichokea na kupigwa p*mbu hovyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nahitaji mwanamke mwenye hofu ya Mungu,asiyetaka tena maisha ya kuchezewa ovyo, anaehitaji ndoa ili apate heshima anayostahili kama mke wa mtu.

Umri miaka 19-28
Elimu kidato cha 4 na kuendelea
Rangi yoyote .
Kabila lolote.
Mkoa wowote .

Mi umri wangu miaka 28
Ninajimudu kimaisha.
Mwenye bahati yake aje PM.
 
Back
Top Bottom