Mwanamke mwenye mdomo na hasira kukaa kwenye ndoa sahau

Mwanamke mwenye mdomo na hasira kukaa kwenye ndoa sahau

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
MWANAMKE MWENYE TABIA HIZI NI NGUMU KUDUMU NAYE KWENYE MAHUSIANO.

1. Mwanamke mwenye mdomo, anaongea kuliko kawaida (umbea umbea)πŸ˜‡πŸ« πŸ˜…

2. Anayeamini uchawi (ushirikina)πŸ˜Άβ€πŸŒ«οΈβ˜ οΈ

3. Mwanamke anayependa hela 🫴
Mwanamke aliyeweka pesa mbele ni ngumu kudumu nae kwenye mahusiano

4. Mwanamke ambae mapenzi yake yako kwa baba yake.
Kila kitu....daddy, ukimuudhi kdg..daddy πŸ‘Ί

5. Mwanamke mlokole (hasa makanisa ya kiroho)πŸ™ˆ
Hawa heshima yao kubwa iko kwa viongozi wao wa dini, atasikilizwa mchungaji kuliko wewe πŸ˜ƒπŸ˜ƒ

6. Mwanamke anayependa kujirusha πŸ’ƒ
Anataka outing,kuparty ,viwanja vyoote anavijua mpk band anazijua

7. Mwanamke anayependa kushindana (Asiyepitwa)
Mwenzake kavaa wigi mpya na yeye anataka, simu mpya imetoka, anaitaka

8. Mwanamke asiyeridhika.
Haridhiki kwenye mapenzi, au hata kipato au pesa unazompatia.

All in all, mbaya kwako kwa mwingine ni mzuri.
Kila mtu na mtu wake, kwako anaweza akakuchanganya lkn kumbe kwa mwingine ndiye Mwanamke anayemtaka.
 
MWANAMKE MWENYE TABIA HIZI NI NGUMU KUDUMU NAYE KWENYE MAHUSIANO.

1. Mwanamke mwenye mdomo, anaongea kuliko kawaida (umbea umbea)πŸ˜‡πŸ« πŸ˜…

2. Anayeamini uchawi (ushirikina)πŸ˜Άβ€πŸŒ«οΈβ˜ οΈ

3. Mwanamke anayependa hela 🫴
Mwanamke aliyeweka pesa mbele ni ngumu kudumu nae kwenye mahusiano

4. Mwanamke ambae mapenzi yake yako kwa baba yake.
Kila kitu....daddy, ukimuudhi kdg..daddy πŸ‘Ί

5. Mwanamke mlokole (hasa makanisa ya kiroho)πŸ™ˆ
Hawa heshima yao kubwa iko kwa viongozi wao wa dini, atasikilizwa mchungaji kuliko wewe πŸ˜ƒπŸ˜ƒ

6. Mwanamke anayependa kujirusha πŸ’ƒ
Anataka outing,kuparty ,viwanja vyoote anavijua mpk band anazijua

7. Mwanamke anayependa kushindana (Asiyepitwa)
Mwenzake kavaa wigi mpya na yeye anataka, simu mpya imetoka, anaitaka

8. Mwanamke asiyeridhika.
Haridhiki kwenye mapenzi, au hata kipato au pesa unazompatia.

All in all, mbaya kwako kwa mwingine ni mzuri.
Kila mtu na mtu wake, kwako anaweza akakuchanganya lkn kumbe kwa mwingine ndiye Mwanamke anayemtaka.
Wanawake wenyewe wanasemaje Kwani??
 
MWANAMKE MWENYE TABIA HIZI NI NGUMU KUDUMU NAYE KWENYE MAHUSIANO.

1. Mwanamke mwenye mdomo, anaongea kuliko kawaida (umbea umbea)πŸ˜‡πŸ« πŸ˜…

2. Anayeamini uchawi (ushirikina)πŸ˜Άβ€πŸŒ«οΈβ˜ οΈ

3. Mwanamke anayependa hela 🫴
Mwanamke aliyeweka pesa mbele ni ngumu kudumu nae kwenye mahusiano

4. Mwanamke ambae mapenzi yake yako kwa baba yake.
Kila kitu....daddy, ukimuudhi kdg..daddy πŸ‘Ί

5. Mwanamke mlokole (hasa makanisa ya kiroho)πŸ™ˆ
Hawa heshima yao kubwa iko kwa viongozi wao wa dini, atasikilizwa mchungaji kuliko wewe πŸ˜ƒπŸ˜ƒ

6. Mwanamke anayependa kujirusha πŸ’ƒ
Anataka outing,kuparty ,viwanja vyoote anavijua mpk band anazijua

7. Mwanamke anayependa kushindana (Asiyepitwa)
Mwenzake kavaa wigi mpya na yeye anataka, simu mpya imetoka, anaitaka

8. Mwanamke asiyeridhika.
Haridhiki kwenye mapenzi, au hata kipato au pesa unazompatia.

All in all, mbaya kwako kwa mwingine ni mzuri.
Kila mtu na mtu wake, kwako anaweza akakuchanganya lkn kumbe kwa mwingine ndiye Mwanamke anayemtaka.
Hayo yote uliyotaja mkuu ,uko sahihi100%Hakuna mwanaume anayetaka upuuzi huo ni uvumilivu tuu kwa baadhi ya wanaume!
 
Ukiona hivyo hao walipaswa kuolewa na Wanaume wanao fanana nao katika tabia na maisha kwa ujumla!
Watu wengi wanakosea sana kuoa au kuolewa kwa sababu wanaangukia kwa watu ambao hawafafanani nao!
Fikiria wewe Maskini unaenda kuoa au kuolewa na mtoto wa tajiri unategemea nini?
Hukusoma unaenda kuoa msomi?
Ni mkulima unaenda kuoa mfanyakazi mwajiriwa unategemea nini?
Pili unao au unaolewa na mtu asiye wa kabila lako unategemea nini?
Tatu,Wewe hujaokoka unaoaje au unaolewaje na Mlokole?
 
Ukiona hivyo hao walipaswa kuolewa na Wanaume wanao fanana nao katika tabia na maisha kwa ujumla!
Watu wengi wanakosea sana kuoa au kuolewa kwa sababu wanaangukia kwa watu ambao hawafafanani nao!
Fikiria wewe Maskini unaenda kuoa au kuolewa na mtoto wa tajiri unategemea nini?
Hukusoma unaenda kuoa msomi?
Ni mkulima unaenda kuoa mfanyakazi mwajiriwa unategemea nini?
Pili unao au unaolewa na mtu asiye wa kabila lako unategemea nini?
Tatu,Wewe hujaokoka unaoaje au unaolewaje na Mlokole?
MKUU HILI NENO KUFANANA NAMWONBA MUNGU WANANGU WASIKUTANE NAE IMAGINE MLEVI KWA MLEVI
HAPO NO KUAGA
KULA KUPIKA NADRA
UNAANZA KUMTAFUTA DK PDIDY MAISHA YOTE UPEWE DAWA ZA KIENYEJI
 
Kwahiyo mletewe balo lingine siyo, hao mnaowataka muwaumbe
 
MWANAMKE MWENYE TABIA HIZI NI NGUMU KUDUMU NAYE KWENYE MAHUSIANO.

1. Mwanamke mwenye mdomo, anaongea kuliko kawaida (umbea umbea)πŸ˜‡πŸ« πŸ˜…

2. Anayeamini uchawi (ushirikina)πŸ˜Άβ€πŸŒ«οΈβ˜ οΈ

3. Mwanamke anayependa hela 🫴
Mwanamke aliyeweka pesa mbele ni ngumu kudumu nae kwenye mahusiano

4. Mwanamke ambae mapenzi yake yako kwa baba yake.
Kila kitu....daddy, ukimuudhi kdg..daddy πŸ‘Ί

5. Mwanamke mlokole (hasa makanisa ya kiroho)πŸ™ˆ
Hawa heshima yao kubwa iko kwa viongozi wao wa dini, atasikilizwa mchungaji kuliko wewe πŸ˜ƒπŸ˜ƒ

6. Mwanamke anayependa kujirusha πŸ’ƒ
Anataka outing,kuparty ,viwanja vyoote anavijua mpk band anazijua

7. Mwanamke anayependa kushindana (Asiyepitwa)
Mwenzake kavaa wigi mpya na yeye anataka, simu mpya imetoka, anaitaka

8. Mwanamke asiyeridhika.
Haridhiki kwenye mapenzi, au hata kipato au pesa unazompatia.

All in all, mbaya kwako kwa mwingine ni mzuri.
Kila mtu na mtu wake, kwako anaweza akakuchanganya lkn kumbe kwa mwingine ndiye Mwanamke anayemtaka.
Kwa hiyo list yako, basi ndoa zote zimeshavunjika.
 
Back
Top Bottom