Mwanamke mwenye sifa hizi anahitajika haraka

pharao

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2017
Posts
397
Reaction score
690
Habari, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 Ninaishi Dar Es Salaam.
Natafuta mwanamke mwenye sifa zifuatazo:

* Mrefu asiwe mfupi sana
* Awe na umri kati ya miaka 18 hadi 25
* Awe hajazaa
* Awe mweupe au maji ya kunde (Sihitaji Aliyejichubua)
* Asiwe mwembamba sana wala mnene sana
* Sichagui dini na nitaheshimu Imani yake ila dini yake isiwe sababu
ya kushindwa kufunga ndoa au kufanya mambo ya maendeleo kisa imani yake. NB:- Mimi ni mkristo
* Awe anajitambua
* Sichagui Elimu
* Asiwe Mchaga, au Mzaramo
* Asiwe mtu wa makundi

Kifupi kunihusu:

* Nina miaka 28
* Asili yangu ni kutoka Njombe
* Nimejiajiri kwenye kazi inayoweza kuniingizia zaidi ya Milioni 2 kwa mwezi
* Sina mtoto
* Ni mcheshi kwa mtu niliyemzoea
* Napenda kujua mambo mapya ya faida

Udhaifu wangu:

* Nina hasira za karibu
* Sio mtu wa kujichanganya sana na watu

Kwa aliye Interested anaweza kunicheki PM tuyajenge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…