Habari
Nina rafiki wa kike ambaye aliweka vijiti viwili vya kuzuia mimba mwaka jana,
Sasa juzi amesema hajaziona siku zake na ana wasi wasi kuwa ana ujazito
Je hili suala linawezekana kweli ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina rafiki wa kike ambaye aliweka vijiti viwili vya kuzuia mimba mwaka jana,
Sasa juzi amesema hajaziona siku zake na ana wasi wasi kuwa ana ujazito
Je hili suala linawezekana kweli ?
Sent using Jamii Forums mobile app