Habari
Nina rafiki wa kike ambaye aliweka vijiti viwili vya kuzuia mimba mwaka jana,
Sasa juzi amesema hajaziona siku zake na ana wasi wasi kuwa ana ujazito
Je hili suala linawezekana kweli ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakat mwingine wanaweka viwili ...nilishashuhudia zaid ya Mara 2Kwa nini viwili? Kawaida ni kimoja tu.. Na ukiweka kile kijiti kinatengeneza ute mzito kwenye uterus ambapo husababisha mwanamke kutokupata siku zake ...
Nimesikia uwa wanawake adi vitatu na inarusiwa kitaalamkwanza imekuaje ameweka viwili? kutokuona siku zake sio lazima iwe dalili ya mimba yawezekana ni kitu kingne pia.
Na tunaposema njia za uzazi wa mpango zinazuia mimba sio 100℅ so ni vyema akapima.
Kutokupata hedhi ni mojawapo ya maudhi madogo madogo ya hiyo njia ya uzaz wa mpango ....ila kama mda wote huo alikuwa anaziona siku zake ila sasa hiv hazion si vibaya akaenda kupima kipimo cha mimba kujiridhisha zaid maana muda wenyewe wa hivyo vijiti kukaa humo maximum ni 3 yrsHabari
Nina rafiki wa kike ambaye aliweka vijiti viwili vya kuzuia mimba mwaka jana,
Sasa juzi amesema hajaziona siku zake na ana wasi wasi kuwa ana ujazito
Je hili suala linawezekana kweli ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijiti vinakuwaga NA vichocheo once ukiviingiza ndani ya ngoz vina release hivyo vichocheo( hormones) kwenye damu NA kwenda kufanya kazi kwenye maeneo husika( reproductive organs) kuzuia mimbaVijiti mkononi vina uhusiano gani na mimba?.. yaani mkono na mimba wapi na wapi
Vijiti vinakuwaga NA vichocheo once ukiviingiza ndani ya ngoz vina release hivyo vichocheo( hormones) kwenye damu NA kwenda kufanya kazi kwenye maeneo husika( reproductive organs) kuzuia mimba
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahhahahaah mkuu nimecheka adi jiran kasikiaVijiti mkononi vina uhusiano gani na mimba?.. yaani mkono na mimba wapi na wapi
Vipo kwa kuweka kimoja, na vya kuweka viwili, so ni kawaida, vinatofautiana.kwanza imekuaje ameweka viwili? kutokuona siku zake sio lazima iwe dalili ya mimba yawezekana ni kitu kingne pia.
Na tunaposema njia za uzazi wa mpango zinazuia mimba sio 100℅ so ni vyema akapima.
Kwa nini viwili? Kawaida ni kimoja tu.. Na ukiweka kile kijiti kinatengeneza ute mzito kwenye uterus ambapo husababisha mwanamke kutokupata siku zake ...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vijiti vya mkorosho au mwembe?