mwanamke mwenye vvu + umri 30-50 asome hapa

mwanamke mwenye vvu + umri 30-50 asome hapa

tito majala

Member
Joined
Sep 4, 2011
Posts
25
Reaction score
3
tuwasiliane 0763004203 au 0658004203 nipo dar awe na shughuli yake umri wangu 38-43 umri aujalishi sana bora maelewano awena watoto sawa cjagui rangi wala kabila awe mkristo
 
tuwasiliane 0763004203 au 0658004203 nipo dar awe na shughuli yake

Mkuu tito majala mbona hujaeleweka hapa? Hebu weka ka detail kadogo ili angalao mtu aelewe unachokitaka!!! Kama unataka 30-50 years wewe una umri gani? Asije akajitutumia mama wa watu (maana kwa 30-50 wengi ni wamama kama si wajane) halafu akute wewe ni underage.
 
Hatari kwao...

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Anataka mwanamke mwenye "Vina Vikali Usipime" kama Bibi Cheka waende studio wakafanye kolabo!
 
tuwasiliane 0763004203 au 0658004203 nipo dar awe na shughuli yake umri wangu 38-43 umri aujalishi sana bora maelewano awena watoto sawa cjagui rangi wala kabila awe mkristo

Kuna post yako nyingine umesema sharti awe mrefu nikimaanisha mfupi hana nafasi!! Hapa kigezo hicho hakipo? Sasa tuelewe lipi? Unasema awe na shughuli yake!!!! Wewe kwani una shughuli gani? Wanawake miaka 30-50 wana mali zao pengine na watoto!! Hapo ni patamu sana!!! Utawaweza wamama hao? Labda kama utapata wa kawaida!! Kama ni wasomi wenye kazi tegemea utakuta wameshazoea maisha yao fulani na kuwa chini ya mwanaume ni kazi kidogo. Anyway, mwombe Mungu atakusaidia kukupatia mke!! Ila ni kwa nini usiende PASADA wanashughulika na hawa watu wa aina yako na pale unaweza kumpata mke!!! Huku kwenye majukwaa ni kugumu, utawapata wa kila rangi? Kazi kwako kuchagua!! Kila la heri!!!
 
Back
Top Bottom