dah..hapo umenikamata!!.. Ila kwa wazungu kuolewa ni zaidi ya mara nyingi.. Kwa africans maximum ni 3 times.. Kwanza dini zetu walizotuletea haziruhusu ku-merry and re-merry..
Msione hatari kukaa bench>>>God has a plan and a reason for all that you are undergoing...Believe me the right time has not yet come...hata sisi tunajiuliza tutaoa lini maana madem wanatupiga bench but iko cku