Mwanamke needed here

Mwanamke needed here

Boas

Member
Joined
Jun 3, 2013
Posts
31
Reaction score
10
Well mimi ni mwanaume Umri 28
Mfanyakazi Kampuni binafsi
Makazi Dar-Mbezi kimara
Elimu Bachelor degree (Bsc)
Mrefu wastani
Maji ya kunde
Natafuta msichana mwenye Sifa zifuatazo:
Mcheshi
Mcha Mungu
Elimu ngazi kuanzia diploma
Awe anakipato na kujitegemea
Awe tayari kuwa mama watoto siku zijazo
Awe mwenye kuvutia,mrefu wastani,
Msafi na anajua nini maana ya Mwanaume
Think outside the box
Open mind
Mchaga highly preferred
Nipo serious
........
Karibu mama watoto
 
Mtaoa wengine kwao wana asili ya magonjwa ya ukoo kama kifafa pump nk haya no magonjwa yanatembea kwenye baadhi ya koo wengine wachawi mnakutanaje humu utafanya dodoso wapi hapa waambie wa kwenu wanajua jinsi koo zilivyo watakusaidia mtu wa kafafana nawe sio humu humu utapata gumegume lililoshindikana kwao ubebe mikosi bule chunga
 
Mungu akujalie hitaji la moyo wako
 
Back
Top Bottom