Mwanamke ni kujikubali mwenyewe na sio mpaka atumie makeup.

Mwanamke ni kujikubali mwenyewe na sio mpaka atumie makeup.

Shida na raha

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
3,773
Reaction score
3,471
Habari za majukumu leo nimeamka mapema sana kuja kuwapa angalau mawili matatu kwa ajili yenu,..
Mwanamke asiejikubali mwenyewe hata mimi wa kando siwezi kumkubali.

Wako wanawake wazuri ila na wabaya wapo tena wapo kibao na ndio hao ambao hawajiamini mpaka wachukue masaa kibao kwenye kioo.

Ukitaka kujua kwamba mwanamke huyu ni nzuri au ni mbaya,.. Ikiwa umeshazoweana nae ..siku ya kwanza kukutana nae mpe taarifa nakuja kwako.

Hapo utakuta kameshaenda kuazima dressing table nyumbani kwa jirani (kwa shoga ake kanaanza kujiremba).

Ukifika utaanza kumsifia baby umependeza sana, na yeye bila hata aibu kinaitikia tu ahasante kwa vitu vya kuazima,.. Hapo ni baada ya taarifa. Jiandae kwenda bila taarifa.

Ukifika tu ghafla mmekutanisha nyuso zenu,.. Atakutupia mawalama ya kufa mtu kana kwamba kakuomba umnunulie chupi hujanunua kwanini hujampa taarifa anaweza hata kukuchukia,.. Kumbe anakimbia hayaaaa...
Screenshot_20180721-054104.jpg
 
Wanawake
bhana,yan mtu
unanunua parachichi
unaweka ili badae
ule na wali,unarudi
unakuta mwenzako
kajipaka usoni!í ½í¸‚
í ½í¸‚
 
Kuna dada nilishawahi kumkimbia asubuhi!

Ukimuona na make up bonge ya sista duu ila asubuhi nilijua shangazi yangu huko balang'dalalu katoka shamba!
 
Team kujikubali tupo...mm naamini kama ni mtu kukupenda atakupenda ulivyo na sio kumfake kitu chochote.

Lakini kwa upande mwingine kuna walozoea tu kupaka make up na sio kwamba ni wabaya ila mazoea tu.

Tunaomba mtuchukulie kama tulivyo, hizo ndo hulka zetu jmn.
 
Back
Top Bottom