Mwanamke ni lazima ajue kupika?

kumbe unajua kupika, kwa kweli pampas zitahusu.

itabidi wewe ndo uwe mpishi wetu manake sipendi kupika na hakuna ubaya ikiwa kazi yako, INFWACT it's AWESOME!
[emoji276] [emoji276]
 
mhhhh mke hatafuti chakula mimi ndo natafuta hata neno linasema hivyo nitapika endapo unaumwa basi
Hapo ndipo kosa lilipo. Mlipo muhusisha mwanamke kwenye kutafuta chakula wakati ni kazi ya mwanaume, sasa na kupika mwanaume inambidi apike. Tena mwanaume anasema kabisa kuwa hataki mwanamke goal keeper.
 
Hapo ndipo kosa lilipo. Mlipo muhusisha mwanamke kwenye kutafuta chakula wakati ni kazi ya mwanaume, sasa na kupika mwanaume inambidi apike. Tena mwanaume anasema kabisa kuwa hataki mwanamke goal keeper.
hawana HAYA dadaangu.

siku hizi kuhudumia mwanamke ni KERO kubwa sana kwao, utawasikia "mwanamke anayetaka hela ni kupiga na kusepa".

Tumeamua kuwasaidia sasa wasiwe na shida tutajihudumia wenyewe, sasa wakati natafuta hela wewe pikia wanetu, NAYO HAWATAKI. Eti hujui majukumu yako. Mvivu. na kila jina.

Yani MIZIGO on fleek.
 
somebody got some personal issues in here [emoji40][emoji40][emoji40]
 
the struggle is real
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Teh hawabebeki
 
somebody got some personal issues in here [emoji40][emoji40][emoji40]
U talkin' bou me? BE A MAN and say it straight to the face (or in this case, QUOTE)

Natokwa povu tu hapa lakini nakuhakikishia non of this involves me. Just putting my nose in other people's businesses and speaking for the silent sheep. Sijawahi kuwa involved na MZIGO. 🙂

Good evening.
 
Period on fleek [emoji40] [emoji40] [emoji40]
 
ukichunguza humu videm vinavyolalamika ni vibongeeee chupi haikai takoni [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…