Mwanamke niliyenaye ananizidi elimu. Je, kutakuwa na mapenzi ya kweli?

Mwanamke niliyenaye ananizidi elimu. Je, kutakuwa na mapenzi ya kweli?

Yohana1995

Member
Joined
Mar 23, 2022
Posts
7
Reaction score
11
Guys mambo vipi, mimi nipo kwenye mahusiano na mdada ambaye amenizidi elimu yaani yeye ana bachela ya mambo ya elimu lakini mimi ni form 4 tu and tuna mpango wa kuja kuoana je kutakuwa na mapnzi ya dhati kweli hapo japo mimi nampenda for real?
 
Guys mambo vipi, mimi nipo kwenye mahusiano na mdada ambae amenizidi elimu yaani yeye ana bachela ya mambo ya elimu lakini mimi ni form 4 tu and tuna mpango wa kuja kuoana je kutakuwa na mapnzi ya dhati kweli hapo japo mimi nampenda for real?
Vipi kuhusu pesa?

Pesa ndio sabuni ya roho...

Digrii makaratasi tu
 
Kama akijua nafasi yake Kama mwanamke na kutambua kuwa wewe ni mwanaume basi mtafika mbali

Lakini akileta usomi wake
Hio gari hata zero kilometer haisogei
 
Shida hapo itakuwa ww mwanaume u copy tabia ya mke wako ila ukitaka yy acopy tabia zako itakuwa shida. Women are arrogant naturally wanavyoongea,act na body wearing styles(outfits). Wanatabia ya kufananisha muonekano wa mavazi ya mtu fulani na wewe uwe hivyo hivyo mfano kutupia suti na pamba kali sasa ukute ww mwenzangu mm wa mitumba sana itakuwa shida. Kwenye disagrees wewe itakulazima ua agrees mda wote na dalili kubwa ya kutaka kukuacha atakapoanza kuongea kwa codeswitchea mbalimbali mfano you know ww ni vile mgumu kuelewa(it means you're illiterate) nimekuzoea kwa ubishi wake(it means once a fool always a fool) sitaki kubishana na wewe(it means you can't tell anything). Mwanamke ni mgeni wa maisha ya hapa duniani na kuku mgeni hakosi kamba mguuni na kamba ya mwanamke ni ulimbukeni.
Ila watakuchukulia sana poa na papuchi ya mke wako otherwise asiku expose kwa coworkers wenzake.
Ikumbukwe tu the end justifies means watakuibia na kukuchukulia poa ila kamba itakapotoka mguuni uta enjoy ndoa yako. Na yy atakuja kujua kuwa ww ndie jig saw fit wake huko amerika alienda tu kwa slow drifting na bing bang stori itakuwa imeishia hapo
 
Kwa Hiyo Unataka kuacha Pisi kwa sababu ya Elimu! Hivi sisi wanaume vp jamani huo si mgodi huo
 
Guys mambo vipi, mimi nipo kwenye mahusiano na mdada ambae amenizidi elimu yaani yeye ana bachela ya mambo ya elimu lakini mimi ni form 4 tu and tuna mpango wa kuja kuoana je kutakuwa na mapnzi ya dhati kweli hapo japo mimi nampenda for real?

Na we mwanaume mzima unapendaje kweli!??
 
Guys mambo vipi, mimi nipo kwenye mahusiano na mdada ambae amenizidi elimu yaani yeye ana bachela ya mambo ya elimu lakini mimi ni form 4 tu and tuna mpango wa kuja kuoana je kutakuwa na mapnzi ya dhati kweli hapo japo mimi nampenda for real?

Kwa hiyo unahisi mkioana basi atakuwa anawaleta walimu wenzake wa kiume nyumbani kwenu na kuanza kukurusha kwa kusimuliana mbele yako namna walivyo hangaika kwenye 'vimbweta' huko vyuoni ili tu wasipate SUPP au KU - CARRY baadhi ya masomo!

Au unahisi wakati mkiwa faragha, atakuwa anaongea kizungu tu na hivyo kukutoa nje ya mchezo?

Maana maswali yako hayana kabisa mashiko. Mwanaume unatakiwa ujiamini! Acha woga na hofu za kijinga.
 
Pole sana mkuu sasa ataficha makucha ila siku mkigombana utasikia ndio maana umefeli 4m4
 
Kama biti zimenata we cheza tu na hiyo ngoma.
 
kuna vitu mwanamke anaweza kukizidi ila ikawa poa tu, lakini akikuzidi kipato na akili....ndugu kimbiaaaa
 
Back
Top Bottom