in and out
Member
- Jun 30, 2011
- 69
- 6
hahahaaaaa kama hakuna mtoooooooo!Sura kama mbaya siuiziba na mto.........,tabia je?
bujibuji maelezo yako,yananiacha hoiMwanamke uongo. Akijua tu kudanganya basi hiyo poa. Atakuwa na sura mbaya, atakudanganya na urembo. Atakuwa mweusi tiii atakudanganya na mkorogo. Atakuwa na tabia mbaya, atajificha kwenye kivuli cha kwaya.
Mwanamke bora ni yule anayejua kudanganya.
Mwanamke wowowo ndio mpango mzima!
Mwanamke wowowo ndio mpango mzima![/QUOTE
wowowo ili akujambie vizur?
wanamaanisha hivi, wewe kama mwanamke basi lazima ujijali, upendeze, ung'ae yaani full mvuto na sio kujiachia achia tu ovyo ka mwehu jalalani!!!nataka kujua hasa nini sifa ya mwanamke leo hii maana kila mwanamke leo utawasikia wakisema mwanamke reception na kusababisha wanawake wengi kuwadaganya wanaume wengi na kusahau tabia, na kupelekea ndoa nyingi kuvunjika mapema.
nataka kujua hasa nini sifa ya mwanamke leo hii maana kila mwanamke leo utawasikia wakisema mwanamke reception na kusababisha wanawake wengi kuwadaganya wanaume wengi na kusahau tabia, na kupelekea ndoa nyingi kuvunjika mapema.
vyote sura na tabianataka kujua hasa nini sifa ya mwanamke leo hii maana kila mwanamke leo utawasikia wakisema mwanamke reception na kusababisha wanawake wengi kuwadaganya wanaume wengi na kusahau tabia, na kupelekea ndoa nyingi kuvunjika mapema.
Mwanamke wowowo ndio mpango mzima!