Mwanamke ukikosa Mume ukaamua kuzaa tu upate watoto wako, kabla hujazaa jiulize kwanza haya maswali

Mwanamke ukikosa Mume ukaamua kuzaa tu upate watoto wako, kabla hujazaa jiulize kwanza haya maswali

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
KUZAAA KWANZA.jpg
 
Na kwanini mwanamke akubali kuzaa mtoto asiyekuwa na baba?tayari imeshasemwa ukikosa mume it means hakuna wa kukuzalisha.

Wanawake wengine wajinga wajinga kisa ana-earn 300K per month utawasikia “The Worst kwa jinsi ninavyokupenda usiponibariki na mtoto sitazaa tena” ukimtizama unajiuliza huyu amemwambia nani nataka nipitishe mbegu yangu kwake huyu?anaishia kutegesha akiachwa single mama analaani wanaume wote.
 
Back
Top Bottom