Mwanamke uliye Mwanza na una miaka 23 hadi 27 bahati imekudondokea

Mwanamke uliye Mwanza na una miaka 23 hadi 27 bahati imekudondokea

Brodre

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,585
Reaction score
1,771
Kuhusu Mimi
Umri 28
Muajiliwa
Mkirsto
Mrefu
Sina mtoto

Nnayemuhitaji
Dini yoyote awe tayari tu kubadili
Umri kama niliotaja

Mengine aje PM
 
Kuhusu Mimi
Umri 28
Muajiliwa
Mkirsto
Mrefu
Sina mtoto

Nnayemuhitaji
Dini yoyote awe tayari tu kubadili
Umri kama niliotaja

Mengine aje PM
Wasukuma katika ubora wenu MWAJILIWA! ulichangia gharama za kumsomesha mpka amepata iyo ulioiita MWAJILIWA!____MARIO WA KISUKUMA
 
Wasukuma katika ubora wenu MWAJILIWA! ulichangia gharama za kumsomesha mpka amepata iyo ulioiita MWAJILIWA!____MARIO WA KISUKUMA
Kukurupuka sio kitu kizuri bro soma uelewe.
 
Mimi nipo Mwanza ni mkristo nina miaka 25.Nina watoto 5 single mama kwa sasa sina kazi yoyote. Nipo tayari kuolewa tafadhali
 
Mimi nipo Mwanza ni mkristo nina miaka 25.Nina watoto 5 single mama kwa sasa sina kazi yoyote. Nipo tayari kuolewa tafadhali
Humfai huyu kijana, nipe chance hiyo mimi niweke chata langu hapo kwenye hizo numbers isome 6 au hata 7- 8- 9 nkinogewa
 
Back
Top Bottom