St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,174
Mkuu mimi nishatukanwa live mbele za watu na kuambiwa sikutaki mbele za watu. lakini nikimuona tena namtokea na nisha wagegeda wengi sana wa aina hizo. Mimi huwaita sitaki nataka haowew ulijibiwa kistaarabu kabisa.
Na ww mjibu kwa kiburi upooze hasira zako.Habarini wakuu,
Miaka kama 10 hivi iliyopita tulikuwa tunacheza mechi ya kuagana wanaohitimu na wanaobaki, basi kuna msichana nilikua nampenda na siku hiyo ilikuwa nii lazima nijitahidi kuonana nae manake tulikuwa tunakaribia kuanza NECTA, nilimuona upande aliokuwa amekaa na wenzake nikaomba kampani kwa washikaji wanisindikize.
Kufika pale tulipiga piga stori jamaa wakawa wananiacha nibaki naye, naye akawa anaondoka ikabidi nimuite lol, jibu alilonipa ni baya kuliko majibu ya vibuti vyote nilivyowahi pata. alisema hivi UNATAKA NILAMBE MOTO UJUE NIMEKUKATAA. Nilikuwa nishamtongoza kabla ila akawa ananizungusha, jamaa walimbembeleza tuongee akagoma.
Baada ya miaka 10.
Tarehe 16 nimekuta request Fb ya huyu mwanamke na meseji juu nimechati naye mambo mengi mpaka ya kipindi kile manake ndio ilikuwa mwisho kuonana naye anadai nilikata tamaa mwenyewe mapema hata yeye alikuwa ananipenda anaomba tuwe pamoja wakuu nimemwambia kuwa hilo haliwezekani nikikumbuka nilivoaibika siku ile huyu mwanmke anadai nimpe tu ujauzito kama nikiamua kumuoa sawa nikimtelekeza sawa yeye atalea anaonyesha yuko very desparate na hapo yuko na 27 tu.
Somo kwa dada zetu unapomkataa tumia jibu zuri hakuna anayejua kesho itakuwaje na akiba haiozi.
Hakuna haja ya kujifunza. Ni hulka ya mtu.hapana mkuu pengine kuna binti humu atajifunza
Siku nyingine hakikisha unapozungumza maswala hayo mko wawili tuishu sio kukataliwa kunijibu vile mbele ya wenzangu
Usilipe baya kwa baya...ushaiiona movie yankee zuru jamaa aliwekewa kikopo na rafiki yake kichwani zen wakaanza kukilenga shabaha na bunduki jamaa aliondoka amejikojolea walikutana wamshakuwa wakubwa jamaa akajakumrudishia nae akaweka kikopo koo nawew mkuu mrudishie nenda kwenye bar yenye watu mjibu alivyokujibu ili heshima irudi
Huna jipya miaka 17 keshazeeka kwa kizazi hikiacha kujishaua wewe
miaka 10 nyuma ina maana alikuwa na miaka 17
sasa miaka 17 angeanzaje mapenzi ,alikuwa nahaki ya kukukataa maana huo ni ubakaji ,tena utakuwa ulikuwa muhuni kutongoza watoto
yaani anastahili pongezi sana huyo binti ningekuwa mwanaume ningemuoa
angekukubali hata sasa hivi ungekuwa nae au unaandika tu ?
Itakuwa umaishi kwenye Handaki mana umri huo(17 yrs) wengi washatoa mimba si chini ya 5, na kumaliza waume za watu mitaani. Hahaha hahahaacha kujishaua wewe
miaka 10 nyuma ina maana alikuwa na miaka 17
sasa miaka 17 angeanzaje mapenzi ,alikuwa nahaki ya kukukataa maana huo ni ubakaji ,tena utakuwa ulikuwa muhuni kutongoza watoto
yaani anastahili pongezi sana huyo binti ningekuwa mwanaume ningemuoa
angekukubali hata sasa hivi ungekuwa nae au unaandika tu ?