Mwanamke: utafanyaje utakapokabiliwa na mtego huu.........?

Kama ni rafiki wa ukwelii hawezi fanya hivyo. Na kama akifanya basi hafai; maana hakufai, anataka kutumia weekness zako (si ulikuwa unamsimulia) kukutumia tu.

Nitafanya nini? Nitavunja urafiki coz nitamchukia automatically!
Kaunga marafiki wengi hawatumii nguvu kumaliza kazi huwa wanakula kiulainiiii tena bila hata kutongozana Mtambuzi hajajua
Tena baada ya kupiga shughuli ndio mnaulizana status ya mahusiano yenu eti ni wachumba au marafiki? Coz wamejikuta washaharibu bila kujua
 
Last edited by a moderator:
Hamna mtego mbaya kama wa kurafikiana na m'ke halafu ukageuza kibao kutaka nonino. Wengi hawachomoki, wanaingia kiulaini.
Hivyo basi ukiwa na mpenzi halafu kakutambulisha kwa mvulana kuwa rafiki yake wa kawaida, we jua tu kashachimba viazi.
 

mmmmnh....:wacko:
 

Kama wote hamna mahusiano ya pembeni sawa, tena nafikiri mahusiano yanayoanza from friendship ni mazuri zaidi! Lkn kama una mpenzi, halafu rafiki analeta hiyo kitu; haifai.
 
Last edited by a moderator:
Simpi hata kwa juu juu. Urafiki ukikomaa hivyo then mkaubadilisha mkijakugombana hakutokuwa na urafiki wala mapenzi. Si unajua ugomvi wa mapenzi nao hamchelewi kubwagana.
Kama una rafiki ni bora abaki kuwa rafiki.
 
rafiki yangu mkubwa na wa karibu ni mwanaume zaidi ya miaka 8 sasa, yaani mambo mengi tumeshirikiana na kuwa pamoja kwenye misukosuko na hata furaha..hajawahi kunionyesha fikira tofauti wala mimi kumtega..nahisi siku ingefikia hivyo urafiki ungeweza kuisha. Kila mmoja wetu ana mpenzi wake na maisha yanaendelea, tena anakaribia kuoa.
 
Kama wote hamna mahusiano ya pembeni sawa, tena nafikiri mahusiano yanayoanza from friendship ni mazuri zaidi! Lkn kama una mpenzi, halafu rafiki analeta hiyo kitu; haifai.
Yeah uko sahihi Kaunga
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nkwambie kitu Mtambuzi...Marafiki hawatongozani kwa hiyo rekebisha uzi wako...wanajikuta wameanza ku do to mmoja akidhani ni accident huku mwingine alikuwa ame plan from the start.

Ndio maana nasemaga hakuna urafiki kati ya mtoto wa kike na wa kiume.

Watu wanamegana wakati kila mtu ana wake kwa kificho cha urafiki.
 
lakini si lazima wazungumze kwanza.......... vinginevyo hiyo itakuwa ni kubaka
kuzungumzia jambo hilo ndio kutongoza kwenyewe
 
Aaaaha mkuu umenichekesha hapo
kwa red. Naona umeamua kupeperushia watu ndege wao. Halafu ulivyo
mjanja, umetuzuia sisi tusitie neno....... haya bana ngoja tuwe wasomaji
tu!
hebu nipe uzoefu wako basi.....
 
najua Bishanga anauma vidole huko alipo..........
 
Last edited by a moderator:
Safi sana mtambuzi kwa kutusaidia!
Wapi smile,charmglady,kongosho,madame,
njooni mtiririke

mkuu,nina mning'inio ucngizi nachangia kesho tafadhali. . . mada nzuri sana na inanigusa kwa 105% so msubiri kwa hamu mchango wangu!
 
Kama
ni rafiki wa ukwelii
hawezi fanya hivyo. Na kama akifanya basi hafai; maana hakufai, anataka
kutumia weekness zako (si ulikuwa unamsimulia) kukutumia tu.

Nitafanya nini? Nitavunja urafiki coz nitamchukia automatically!

Kaunga wanaume wana mbinu we acha tu, unamkuta
mwanaume analia kama mtoto mpaka mwenyewe unalainika......
Si unajua rafiki ni bora kuliko mwanasesere
 
Last edited by a moderator:
Kaunga wanaume wana mbinu we acha tu, unamkuta
mwanaume analia kama mtoto mpaka mwenyewe unalainika......
Si unajua rafiki ni bora kuliko mwanasesere

ha ha ha! Umenikumbusha mbali kweli.
Bahati nzuri mimi mwanamume akinililia tu ninamdiskwolifai! LOL
 
Reactions: Aza
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…