MtotoSix, wewe ni teenager? Kua uyaone. Asilimia 80 ya rafiki zangu ni wakaka. Tunatoka lunch, diner, disco, bar......
Ni kweli huwa inatokea sometimes watakuomba, lakini mdada ukiwa strong na kuongea nao kuwakumbusha uhusiano wenu huwa wanaelewa. Ushauri tu kwa wadada, kama tunapenda kudumisha urafiki wa kawaida na rafiki zetu wakaka tunahitaji kujitahidi kutowatega kwa namna yoyote ile, kwani nimegundua hawa wenzetu ni "DHAIFU" kwenye mahusiano, tuwasaidie.
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums