Mwanamke wa hivi unamfanyaje?

Mwanamke wa hivi unamfanyaje?

Sisa Og

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2024
Posts
201
Reaction score
504
Huu mwaka wa kuchanganyikiwa kweli!

Huyu mrembo tangu niwe nae kwenye mahusiano simuelewi kabisaa! Bora tu nijikatae au mapenzi sio vitu vyangu.

Huyu mrembo nilimblock miezi kadhaa nyuma kwa sababu mahusiano hayakuwa well balanced. Yaani mi ndo nimtafute, nimcall, text. Ila yeye mpaka ajisikie. Sasa huko ni kujikomba.

Alikuja kunitafuta baada ya miezi 2 na kulalamika na kudai nautesa moyo wake. Nikasema isiwe kesi nikamkaribisha tena. Siku za mwanzoni, mrembo alikuwa serious. Ubusy hamna, communication vizuri na upatikanaji.

Haya sasa, baada ya wiki mambo yakarudi yaleyale. Hamna ugomvi wala nini mtoto mwendo wa kunikalia kimya. Ukituma sms zinajibiwa after masaa au muda mwingine hamna. Nikaona isiwe kesi, nikavunga. Baada ya siku kadhaa ananitafuta na malalamiko kwamba nimebadilika simjulii hali wala nini? Mtu kama huyo unamfanyaje?
Sasa nimeamua kukaa kimya siku ya tatu sasa.
Nashukuru Mungu mahusiano nishayavulia nguo kitambo japo namkubali sana ila hisia hazizidi uwezo.

All in all huu mwaka wa kuchanganyikiwa, hivyo tuwe makini.
Keep focusing on money, food and hobbies, love is a scam
 
Huu mwaka wa kuchanganyikiwa kweli!

Huyu mrembo tangu niwe nae kwenye mahusiano simuelewi kabisaa! Bora tu nijikatae au mapenzi sio vitu vyangu.

Huyu mrembo nilimblock miezi kadhaa nyuma kwa sababu mahusiano hayakuwa well balanced. Yaani mi ndo nimtafute, nimcall, text. Ila yeye mpaka ajisikie. Sasa huko ni kujikomba.

Alikuja kunitafuta baada ya miezi 2 na kulalamika na kudai nautesa moyo wake. Nikasema isiwe kesi nikamkaribisha tena. Siku za mwanzoni, mrembo alikuwa serious. Ubusy hamna, communication vizuri na upatikanaji.

Haya sasa, baada ya wiki mambo yakarudi yaleyale. Hamna ugomvi wala nini mtoto mwendo wa kunikalia kimya. Ukituma sms zinajibiwa after masaa au muda mwingine hamna. Nikaona isiwe kesi, nikavunga. Baada ya siku kadhaa ananitafuta na malalamiko kwamba nimebadilika simjulii hali wala nini? Mtu kama huyo unamfanyaje?
Sasa nimeamua kukaa kimya siku ya tatu sasa.
Nashukuru Mungu mahusiano nishayavulia nguo kitambo japo namkubali sana ila hisia hazizidi uwezo.

All in all huu mwaka wa kuchanganyikiwa, hivyo tuwe makini.
Keep focusing on money, food and hobbies, love is a scam
Wewe mwenyewe una matatizo gani? Uko dhaifu kwa wanawale kiasi hicho? Na bado huoni tatizo lako unataa kuona la wengne?
 
Huyo ana mtu mwingine au watu wengine.

Kwahyo mda ambao anakukaushia wewe yupo bize na wao.

Na mda ambao anarudi kwako ujue kule kakaushiwa na yeye.

Ndomana anakuja na malalamiko kwako, yaani mateso anayoyapata kule anataka umpoze wewe.

Epuka mahusiano ya hivyo. We sio doctor kutibu mioyo iliyovunjika.
 
1673287041743.jpg
 
Huyo ana mtu mwingine au watu wengine.

Kwahyo mda ambao anakukaushia wewe yupo bize na wao.

Na mda ambao anarudi kwako ujue kule kakaushiwa na yeye.

Ndomana anakuja na malalamiko kwako, yaani mateso anayoyapata kule anataka umpoze wewe.

Epuka mahusiano ya hivyo. We sio doctor kutibu mioyo iliyovunjika.
Umemaliza yote.
 
Back
Top Bottom