Mwanamke wa kiha


Pamoja sana, tunaishi kwenye jamii mchanganyiko, na ninakubali wengine wanapaswa kujibiwa kwa ukalli. maandalizi mema ya kuupokea mwaka Mpya (kama huwa unaamini katika sherehe za mabadiliko ya namba)
 
Pamoja sana, tunaishi kwenye jamii mchanganyiko, na ninakubali wengine wanapaswa kujibiwa kwa ukalli. maandalizi mema ya kuupokea mwaka Mpya (kama huwa unaamini katika sherehe za mabadiliko ya namba)
Ndiyo mkuu, siziamini sana lakini maadamu tuko duniani tunakuwa pamoja. Maana wanasema safari nzige na panzi wamo. Mimi ni panzi hapo. Kheli ya mwaka mpya kwako mkuu na wana jf wote.
 
tuache mambo ya kitoto, wanawake wa kigoma, ni wazuri wa sura kwasababu ya kaasili fulani ka kirundi na ninyarwanda...lakini kwa tabia, ni malaya kupita kiasi lazima wakuletee mtoto wa nje...ila kikubwa zaidi, NI WACHAWI NA WANATUMIA MADAWA KUPINDUKIA...nilishapewa ushauri, ukifanya kazi kigoma usitafute demu, ukitafuta tu unanasa na hautanasuka jinsi dawa zilivyo na nguvu..na si wanawake tu, watu wote wa kigoma ni wachawi ajabu. rafiki yangu alikuwa wakili wa serikali kule, tulisoma naye alikuwa mzuri tu, wamemloga sasaivi ni kilema anatembelea magongo......ndio maana mkoa wao hata hauendelei..unajua mikoa yote ya kichawichawi huwa haiendelei, watu wanaogopa hata kuwekeza na kujenga majengo...angalia kigoma, singida, lindi, sumbawanga, Tanga pamoja na kwamba ni jiji lakini limepoaaaa utafikiri wamemwagia maji ya baridi kumbe uchawi umezagaa hewani....wachafuuuuu...hopless kabisa..mtaishia kuwa wachawi na mtakula jeuri yenu.
 
kuna kaka yangu amepata mwanake kutoka kigoma yaani muha,anataka kumuowa
je wanawake wa kiha wanatamaduni zipi na tabia zipi? tusaidieni wana JF

Usiwe na wasi wasi kwani ndoa yenyewe haitafungwa. Ni kwamba jana yule wifi yako mtarajiwa aliniuliza tabia za wanaume wa kabila lenu. Ile kumwambia tu, alifuta hadi namba ya kaka yako. Kwa hiyo usijisumbue
 
kama wameshapendana waache waoane....kuchunguza tabia na tamaduni kulishapitwa na wakati na haijengi mahusiano mazuri tokea mwanzo kwa familia za pande zote. na je yeye akichunguza tabia na tamaduni za kaka yako itakuwaje endapo atagundua dosari? hakuna kabila au binadamu asie na mapungu, hayo yote yanarekebishwa tuu kwa kueleweshana.
 
Mavitu yao makali ila ujiandae kwao kitanda hakizai haramu kwa ufupi ni chawote
 
Nimezaliwa na kusoma Kigoma_ckuweza kumpata rafik wa kike nikiwa huko mpaka pale nilipo safir mikoa mingne_ni ukwel usiopingka kuwa wanawake wa kiha ni waaminifu mno kwny mahusiano kuliko makabila meng, hawana uchoyo kwsbb they believe in extended families, sio believers wa mali kivile, wanaheshima kwa kila m2, ni watunzaj wazur wa mali na familia
 
Madada wa kiha ni wazuri. Uvumlivu wa hawa wanawake inategmea ni wa sehem gani.mf kigoma mjini hawa ni wahun,ni machiriku ndan ya nyumba harafu wana mchanganyko wa tabia za kiha,kirund,congo,uswahil nk. Wale wa manyovu ni mchanganyiko wa watusi,tabia zao kama madada wa kihaya..nyumban kwanza,jeuri wanalo hasa akikuchukia anakaa kimya tu. Waliobak wa kaslu,kbndo ni madada waolewaji,wavumilivu na sio wez. Ile story ya kitanda hakizai haramu<kuanzula>,wanaume walikuwa wanaenda manamba miaka zaid ya 5. Mwanamme aliyeachiwa mji anaamua amzalishe huyo mama.
 
Du kaka yako anabahti sana amepata mwanamke wa Kiha ni safi sana kwanza ni wakarimu na wacheshi sana kwa ndugu wa mwanamke na wa mwanamme, 2. Hawana visasi wala visirani hali kadharika si wepesi wa kuchukua pasipo sababu. 3. Ni wavumilifu na wasikivu wa hali ya juu. 4. Ni wasafi na wastarabu. 5. Wanajua kupika aina nyingi za vyakura. 6. Ni wepesi kujifunza hawapendi mambo makuu. 7. Wanajua thamani ya mwanamme. 8. Wanapenda kujishughurisha yaani si wavivu. 9. Ni watanashati na wanadhifu yaani wanajipenda sana. 10. Ni wenye moyo wa upendo na wenye kushirikiana na watu. 11. Si wapenda shali. 12. Wengi wao ni wazuri sana yaani si weupe sana na si weusi sana, si wafupi sana na si warefu sana. 13. Si waongo ni wakweli muda mwingi. 14. Wepesi kuomba msamaha pindi wanapokosea. 15. Ni watunza siri.16. Wana miili ambayo si ya kuzeeka haraka NB. Nazungumzia Muha original na sio Mrundi au Mkongo.
 
hili suala mila nashauri upae kutoka kwaq wana kigoma,

tafadhali waha mwageni taarifa za utamaduni wenu ili tunufaike


huenda tukaalika wengi kuja kuoa kigoma, maana itarahisisha uchukuaji wa taarifa

jambo la msingi la kujiuliza je huyo mwananmke ana tabia njema ya utulivu sio mapepe na pili je tabia zenu zinaendana, je unampenda kweli, usio ilimradi watu wamesema, lazima umpende na ni vizuri naye akupende, asipokupenda utaishi kwa presha

kila la heri
 
Mh jaman mi MUHA, 2ko pouwah, uchaw kila sehem upo..wana mapenz ya kweli, na waoga..(ila ubishi si ni noma/wajuaj mno)
 



si thibitishi ushirikina wao ila nachangia.MOST of them wana chale nyingi maeneo tofauti na hii ni experience toka mashuleni na mtaani.sasa inaonekana jamii ya waha kama zilivyo na nyingi wana imani hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…