Mwanamke wa kunioa

Mwanamke wa kunioa

Andika Jina

Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
43
Reaction score
3
Kutokana na ugumu wa maisha niliyonayo na kwa kwa kujua kuwa wanawake wanaweza,niko tayari kuolewa.Aliye serious ani pm
 
:biggrin::biggrin: Kuna wanaume wa kukuoa nikuletee...?
 
kumbe wanawake tunaoa
siku hizi heheee!kuchikuchi hotae
inahamia bongo tartiiibuuuu!

 
Wewe,sasa utakuwa unapika,kufua,kuogesha watoto nk na atakayekuoa utamuitaje?Ugumu wa maisha ndo ukufikishe hatua hiyo?
 
mmh! Watakuja subiri. Jamani ingekuwa mdada angesema anatafuta pendeshee la kumuoa, sasa tajiri la kike linaitwaje? Kijana anataka kusafiria bamia akikanyaga tu kafika. Mh! Ukistaajabu ya Musa, ..........! Kila la heri.
 
Mweeh!!!
Kweli wewe ni mwanaume jina...
Ushapanga idadi ya watoto utaojifungua pia?
 
Vipi vidume hawaruhusiwi kuku-pm?maana kama issue ni ugumu wa maisha pia wapo tayari kukusaidia!
 
Back
Top Bottom