Mwanamke wa kunipa faraja

Chele2

Senior Member
Joined
Apr 5, 2013
Posts
102
Reaction score
5
Mim ni kijana wa kiume,mtanzania,mwenye umri wa miaka 27,nahitaji msichana wa kunipa faraja ktk kipindi hiki kigumu cha mahusiano nlichonacho!
Siyo lazima awe single coz ninachohtaji ni faraja tu! aliye tayari aniPM nimpe mawasiliano yng
 
Mim ni kijana wa kiume,mtanzania,mwenye umri wa miaka 27,Maji ya kunde,mrefu wa wastani,mwil wa kati,mfanyakaz! Nahitaji msichana wa kunipa faraja ktk kipindi hiki kigumu cha mahusiano nlichonacho!
Siyo lazima awe single coz ninachohtaji ni faraja tu! aliye tayari aniPM nimpe mawasiliano yng
 

I bet, yawezekana ukaongeza matatizo badala ya kuyapunguza kijana. Wasichana wa kwenye mitandao!
Anyway, you may proceed!
 
 
Last edited by a moderator:
Faraja kwako ni nini? Ngono ama kampani?
Haya kila la kheri. Ila ungesolve kwanza matatizo yako ya mahusiano ingekuwa bomba zaidi. Wewe ni mwanaume, simamia issues zako badala ya kuzikimbia kimbia.
 
Faraja kwako ni nini? Ngono ama kampani?
Haya kila la kheri. Ila ungesolve kwanza matatizo yako ya mahusiano ingekuwa bomba zaidi. Wewe ni mwanaume, simamia issues zako badala ya kuzikimbia kimbia.

Yapo mahala pabaya now,naweza yaepuka kwa muda kwanza but kampan n muhimu kwangu,nahtaji sana kampani
 
Faraja kwako ni nini? Ngono ama kampani?
Haya kila la kheri. Ila ungesolve kwanza matatizo yako ya mahusiano ingekuwa bomba zaidi. Wewe ni mwanaume, simamia issues zako badala ya kuzikimbia kimbia.

Faraja kwangu ni kampan kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…