Mim ni kijana wa kiume,mtanzania,mwenye umri wa miaka 27,Maji ya kunde,mrefu wa wastani,mwil wa kati,mfanyakaz! Nahitaji msichana wa kunipa faraja ktk kipindi hiki kigumu cha mahusiano nlichonacho!
Siyo lazima awe single coz ninachohtaji ni faraja tu! aliye tayari aniPM nimpe mawasiliano yng
Faraja kwako ni nini? Ngono ama kampani?
Haya kila la kheri. Ila ungesolve kwanza matatizo yako ya mahusiano ingekuwa bomba zaidi. Wewe ni mwanaume, simamia issues zako badala ya kuzikimbia kimbia.
Faraja kwako ni nini? Ngono ama kampani?
Haya kila la kheri. Ila ungesolve kwanza matatizo yako ya mahusiano ingekuwa bomba zaidi. Wewe ni mwanaume, simamia issues zako badala ya kuzikimbia kimbia.