Roosevelt22
Member
- Sep 28, 2022
- 11
- 11
Mi nitatoa tangazo mwenyewe na masharti kede
Ni jambo la kheri
Kila lenye kheriHusika na kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana wa kitanzania, miaka 36, dini mkristo, elimu Msc, kazi mfanya biashara.
Natafuta mwanamke ambaye ninaweza kuzaa nae mtoto au ambae anahitaji kuzaa mtoto. Matunzo yote ya mtoto ni juu yangu mimi kama baba.
NB: Ambae yuko tayari kuzaa mtoto siitaji demu. Kama kuna ambae yupo tayari plz njoo inbox.
Nani kakwambia mke anatafutwa mtandaoni!!!??? Kila lakheriHusika na kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana wa kitanzania, miaka 36, dini mkristo, elimu Msc, kazi mfanya biashara.
Natafuta mwanamke ambaye ninaweza kuzaa nae mtoto au ambae anahitaji kuzaa mtoto. Matunzo yote ya mtoto ni juu yangu mimi kama baba.
NB: Ambae yuko tayari kuzaa mtoto siitaji demu. Kama kuna ambae yupo tayari plz njoo inbox.
Changamkia fursa hiyoNi jambo la kheri
Taabu yote ya nini?Changamkia fursa hiyo
Aisee 😂
Nitawatongoza wangapi? Ndio maana natafuta mwenye uhitaji wa kuzaa?Hujui kutongonza ? NENDA sinza wanawake wamejaa hawawezi kataa kukuzalia.
Kwani kunasehemu Mimi nimesema natafuta Mke? Soma vizuri Uzi wangu usikurupuke. Mimi natafuta mwanamke alie tayari kuzaa?Nani kakwambia mke anatafutwa mtandaoni!!!??? Kila lakheri
Kwani Master's ndio inatongoza mkuu.Na Masters yako unashindwa kutongoza???
Kwa niniTaabu yote ya nini?