wolfman Jr
New Member
- May 16, 2020
- 3
- 2
๐๐doh fursa hiiWanawake fursa hiyo
Lkn hakikishen kama ni mradi au biashara ya uhakika umefunguliwa kwanza, ndo ukubal kutoa Papuchi kwaajili ya kuzaa mtoto/watoto.
[emoji3][emoji3]doh fursa hii
mwenye kizazi Cha majaribio aje huku[emoji848]
woiii siitakii hata kwa bure๐[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kazi kwenu ladies
Kwa kweli mwenye incubator yake akujemwenye kizazi Cha majaribio aje huku[emoji848]
woiii siitakii hata kwa bure[emoji135]
Alete na mrejesho akipata wa kuzaa mtoto/ watoto
๐๐๐Kwanza vigezo Sina hapo ngoja aje mwingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwann sasa jaman....Dunia inaenda kasi, utajikuta unakoswa mtoto, unakoswa na ndoa..bora kipi??
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza vigezo Sina hapo ngoja aje mwingine
Me mweusi toleo la Kwanza kabisaa
๐ ๐ ndy mkuu na yeye hataki mweusi Sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwamba yale matoleo ambayo vipodozi havikuwapo?
[emoji28][emoji28] ndy mkuu na yeye hataki mweusi Sanaa
Nasubir tangazo lingine nione
๐ ๐ ๐ usijali mkuuHahahaha ngoja nitatoa langu lakutafuta toleo lakwanza ,ila hakikisha unaweusi kama tairi la gari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji28][emoji28][emoji28]usijali mkuu
Nasubiria hiyo fursa