Innocenthezron
JF-Expert Member
- Oct 13, 2016
- 393
- 470
Mwanamke huyo kwa jina la marry surrat ndie mwanamke wa kwanza kuwahi kunyongwa hapa duniani akipata adhabu hiyo mnamo saa 1.22 mchana tarehe 7 july 1865 akituhumiwa kumuua aliekua raisi wa marekani kipindi hicho bwana abraham lincoln..........