Mwanamke wa miaka 25-40 njoo utulie kwangu

Mwanamke wa miaka 25-40 njoo utulie kwangu

SINGLE RASHID

Member
Joined
Nov 8, 2012
Posts
71
Reaction score
15
mimi kijana wa miaka 32 mwenye elimu ya chuo na kazi natafuta mwanamke Wa umri huo aje tufanye maisha awe na kazi au biashara....dini muisilamu na siangalii urembo ila ajiheshimu...aliyetayari ani PM,
 
Tuambie mpaka sasa umekwishawatuliza wanawake wangapi kwako mkuu?
 
  • Thanks
Reactions: awp
Acha uvivu mademu wapo wa kukinga hawa wa humu utaumiza kichwa tu!!! Njoo Arusha huku nikuunganishie watoto wa kimbulu arifu..
 
mmh mdogo wangu unataka kulelewa mapema hivyo? eti awe ana kazi au biashara wewe mwenyewe unatafuta kazi, makubwa haya.
 
Finally umefunguka jana ulikua unasema kubadilishana mawazo!!
 
mmh mdogo wangu unataka kulelewa mapema hivyo? eti awe ana kazi au biashara wewe mwenyewe unatafuta kazi, makubwa haya.
kaka nipo serious na hili tena wala usiwe na hofu si kulelewa ni kumpata anayehitaji kama kuna unayemjua nipe contact zake mkuu
 
mi sina kazi wala biashara lakini nitakufaa
 
  • Thanks
Reactions: awp
Back
Top Bottom