SINGLE RASHID
Member
- Nov 8, 2012
- 71
- 15
kaka nipo serious na hili tena wala usiwe na hofu si kulelewa ni kumpata anayehitaji kama kuna unayemjua nipe contact zake mkuummh mdogo wangu unataka kulelewa mapema hivyo? eti awe ana kazi au biashara wewe mwenyewe unatafuta kazi, makubwa haya.