Mwanamke wa Ndoto Yako

Mello

Senior Member
Joined
May 7, 2017
Posts
110
Reaction score
207
It’s True that, Wanaume/wanawake wengi waliyopo kwenye Ndoa au Mahusiano, wapo Kwasababu tu wamekutana na wenza wao kwa sababu fulani, hiyo sababu ndo ilipelekea wawe hivyo walivyo Sasahivi. Lakini waliyo wengi wanaishi ilimradi siku zisogee. Wengi hawana Furaha kabisa, Ukweli ni kwamba hawajakutana na Wenzi wa Ndoto zao. So wengi Tunaumia kisa tu tumefungwa na Viapo. Ni wakati sasa wa Kitafuta Furaha yako Sehemu Sahihi. Ondoka fungana na mtu wa ndoto zako, Acha kuficha wakati Unaendelea Kuumia.
 
Sawa mkuu sasa hao watoto tuliojaliwa tuwaache wapi kwanani?
 
Tatizo mwanamke wa ndoto zako.
Nae ana mwanaume wa ndoto zake.
Bora liende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…