kichwangum
Member
- Nov 10, 2024
- 43
- 62
Oy kmmke "s ununue roboti lakike ulifanye unavotaka" stupidHabar ndugu zang.
Awa viumbe wanaoitwa wanawake sijiu wanakuwa na shida gan.yaan kuna mda hata huwez elewa anataka nini kwako,ili mapenz yadumu.anyway nimeachwa kisa anasema huwa simtafuti mara kwa mara.sasa sijajua anataka nisiwe nafanya hata kazi ili nipate pesa
sawa mkuu ngoja niingie mawindoni tena
mkuu yanapatkana wapi ayoOy kmmke "s ununue roboti lakike ulifanye unavotaka" stupid
Tyrese Gibson anakuangalia kwa jicho la 3 kisha anasema hii pimbi kweli fala amesema muachane achana nae kikubwa hajakupukutisha ila km amakupukutisha fanya unavyofanya ufidie machungu mwananguHabar ndugu zangu.
Awa wanawake sijiu wanakuwa na shida gani.Yaani kuna muda hata huwezi elewa anataka nini kwako,ili mapenz yadumu.
Anyway nimeachwa kisa anasema huwa simtafuti mara kwa mara. Sasa sijajua anataka nisiwe nafanya hata kazi ili nipate pesa.
Mcheck Elon Musk kule X akupe muongozomkuu yanapatkana wapi ayo
Ukisaka pesa wanasema oh i need ur time, ukosa pesa wanakukwepa kama ukoma sasa sijui tufa yeje jameni.Habar ndugu zangu.
Awa wanawake sijiu wanakuwa na shida gani.Yaani kuna muda hata huwezi elewa anataka nini kwako,ili mapenz yadumu.
Anyway nimeachwa kisa anasema huwa simtafuti mara kwa mara. Sasa sijajua anataka nisiwe nafanya hata kazi ili nipate pesa.
kunipukutisha ameshindwa ndo mana ameamua kunitengenezea visa ili tuachaneTyrese Gibson anakuangalia kwa jicho la 3 kisha anasema hii pimbi kweli fala amesema muachane achana nae kikubwa hajakupukutisha ila km amakupukutisha fanya unavyofanya ufidie machungu mwanangu
Ushawahi kumkula au ndio vile?kunipukutisha ameshindwa ndo mana ameamua kunitengenezea visa ili tuachane
nimemla sanaUshawahi kumkula au ndio vile?
Mwanamke wako au mkeo ?Habar ndugu zangu.
Awa wanawake sijiu wanakuwa na shida gani.Yaani kuna muda hata huwezi elewa anataka nini kwako,ili mapenz yadumu.
Anyway nimeachwa kisa anasema huwa simtafuti mara kwa mara. Sasa sijajua anataka nisiwe nafanya hata kazi ili nipate pesa.
wewe kwanini humtafuti mara kwa mara? huwa unamtafuta mara ngapi kwa wiki labdaHabar ndugu zangu.
Awa wanawake sijiu wanakuwa na shida gani.Yaani kuna muda hata huwezi elewa anataka nini kwako,ili mapenz yadumu.
Anyway nimeachwa kisa anasema huwa simtafuti mara kwa mara. Sasa sijajua anataka nisiwe nafanya hata kazi ili nipate pesa.
lakn mbna huwa najitaid kumpatia anachotaka hata kama kuna mda namcheleweshea lakn huwa nampa, anyway mi naona kumtafta haihusiani na kuachanawewe kwanini humtafuti mara kwa mara? huwa unamtafuta mara ngapi kwa wiki labda
Mwanamke wako au mkeo ?
[/QUOTE alikuwa demu wangu tu