Wee jamaa hivi kuna kitu cha maana unawazaga??Pesa ni uchawi kwa manzi kosa vyote dume usikose mshiko!
Watoto wazuri utaishia kuwaita shemuuu!
Utakuwa member expert Wa punyetooo!
Utakuwa mshika pembe tu wenzio wanakamua maziwa!
Utatengwa hata ktk group discussion chuoni!
Kazi mademu watakudharau
Utaambiwa sura ka hamorapa!
Mwanamke kosa wowowo sasa!
Lifti hupati
Keep change utaisikia hewani!
Offer za lunch sahau
Hutapandishwa cheo
Mumeo atakuwa na michepuko balaa!
Yenye mizigo!
Ongezeeni jamani
Inaonyesha niko sahihi, hujitambui! Umetawaliwa na ngono akilini.We unaona kutetea buku saba ya Lumumba ndio cha maana!
Wowowo kama lako hilo
Wee jamaa hivi kuna kitu cha maana unawazaga??
good gooder goodestInaonyesha niko sahihi, hujitambui! Umetawaliwa na ngono akilini.
Sikujibu swali lako la kipvmbavu sababu sio mahali pake hapa, sichanganyagi majukwaa.
Lumumba na hili jukwaa vinahusiana nini?? Au kwa akili yako huoni tofauti??Kumbe unajua ni jukwaa la stories hili sasa unaropoka nini we ke..nge
Ni kweli kuna kujiamini flani kiubinaadam ukiwa financially stable kwa wanaume na ukiwa mzuri asilia kwa wanawake
Muulize yeye ana wowowo?Ni kweli kuna kujiamini flani kiubinaadam ukiwa financially stable kwa wanaume na ukiwa mzuri asilia kwa wanawake