Black Mann
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 140
- 209
Labda ungetupa sababu za upweke.Habari za jioni ndugu zangu,
Nimeamua kuja hapa kueleza hisia zangu yawezekana kuna atakayeguswa na Mimi,.
Mimi Nina miaka Kati ya 30-36 naishi Dar es salaam, nimekuwa mpweke Kwa muda mpaka nimechoka sasa, naomba mwanamke yoyote aliye mpweke kama Mimi tuungane na kupeana kampani, umri wowote karibu PM.
Asanten Kwa kusoma thread yangu
Ila wewe unaonekana kuwa mama wa Misheni TownJiji lina wanawake wa kila rangi, unafeli wapi mjukuu
Upweke wa mahusiano sio starehe au pesa.Huna mipango unakuwaje mpweke kwenye dunia yenye mambo kibao nikushauri ww sema unataka dem wa kunyandua ila upweke kama una hela huwez sema hilo neno nunua hata mbwa wa gharama uone kama utakua mpweke nunua hata ndinga kaliiiii kula adventure mwisho wa mwaka huu upweke unakujaje
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣 🤣 🤣 🤣Kampani ya upweke yaani muwe wapweke square [emoji2960]
Saa nane ni jioni??Habari za jioni ndugu zangu,
Nimeamua kuja hapa kueleza hisia zangu yawezekana kuna atakayeguswa na Mimi.
Mimi Nina miaka Kati ya 30-36 naishi Dar es salaam, nimekuwa mpweke Kwa muda mpaka nimechoka sasa, naomba mwanamke yoyote aliye mpweke kama Mimi tuungane na kupeana kampani, umri wowote karibu PM.
Asanten Kwa kusoma thread yangu
Upweke mkuu ndio sababu majira yanaenda kiupweke upwekeSaa nane ni jioni??
Au ndio umevurugwa
Aisee
Niombe excuseIla wewe unaonekana kuwa mama wa Misheni Town
I'm sorryNiombe excuse