Endelea kuringa nacho, kitakuja kuliwa na nyenyere!Dem mwanamke?, tuiteni tu wanawake tu hiyo Demu demu dah,inakata stimu[emoji51]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3] hadi nyenyere unawaonea wivu mkuu, wewe si unataka wenye chura lakini?Endelea kuringa nacho, kitakuja kuliwa na nyenyere!
Dem mwanamke?, tuiteni tu wanawake hiyo Demu demu dah,inakata stimu[emoji51]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli hapo ni tunda kuliwa kimasihara na stori kuishia hapo [emoji3]
Ngoja niulize kwani kuliwa kimasihara mkishakuna pale mkimalizana kila mtu na habari zake hamrudiani tena yani hakuna mahusiano endelevu?Kweli hapo ni tunda kuliwa kimasihara na stori kuishia hapo [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja niulize kwani kuliwa kimasihara mkishakuna pale mkimalizana kila mtu na habari zake hamrudiani tena yani hakuna mahusiano endelevu?
Eeeenh [emoji134][emoji134][emoji134]Mahusiano yatoke wapi mama mtu anataka tunda tu umeshampa amemenya amekula ameshiba akatapika
Bibie inakuwa imeisha hiyo.
Mahusiano yatoke wapi mama mtu anataka tunda tu umeshampa amemenya amekula ameshiba akatapika
Bibie inakuwa imeisha hiyo.
Endelea tu kuwa single
Dem mwanamke?, tuiteni tu wanawake hiyo Demu demu dah,inakata stimu[emoji51]
Sent using Jamii Forums mobile app