Mwanamke yoyote anayependa kwenda na wakati lazima awe na gauni nyeusi kwenye kabati lake

Mwanamke yoyote anayependa kwenda na wakati lazima awe na gauni nyeusi kwenye kabati lake

MBITIYAZA

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2017
Posts
14,947
Reaction score
26,074
5374d3335cec8.image.png


FAshenista wanaiita LBD(Little black dress)
mwanamke yyt anayependa kwenda na wakati lazima awe na gauni nyeusi kwenye wardrobe yake!

Gauni jeusi huweza kuvaliwa popote pale,sio kila mtoko ukaishia kuvaa jeans na top/blouse

waweza toka kimtoko chako kwa kutupia gauni jeusi

  • .waweza vaa na sneakers
  • waweza tupia na statement sandles (makirikiri)
  • waweza tinga na kiblazer (kikoti kwa juu,iwe cha kitenge au oversized sweater)
  • waweza vaa na highheels
  • waweza accessorize na necklace na hereni nzuri for an eye catching for your outfit

[HASHTAG]#mwanamkeKujipenda[/HASHTAG]
 
Umenigusa girl, ngoja nikakatafute.

Kumbe waweza kuweka hata na sneakers, nilifikiria hili but I wasn't sure..
 
Umenigusa girl, ngoja nikakatuafute.

Kumbe waweza kuweka hata na sneakers, nilifikiria hili but I wasn't sure..


hahaha umezoea zile pigo zako tu!yeah na sneaker inakuja fresh sana sana
 
Kwel aiceeeh
Gauni leusi hata msibani utalivaa,kwa wale wasiopenda kuvaa khanga na madera kama mm
 
Back
Top Bottom