M Mkombozi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2008 Posts 844 Reaction score 476 Nov 1, 2012 #1 Wataalamu tunaomba ushauri wenu.Je kuna madhara gani kwa kutunga mimba wakati mwanaume akiwa anaumwa au anatumia madawa makali?Chukulia mfano anaumwa malaria,kifua,typhoide na anatumia dawa za magonjwa hayo.Je hii itaathiri mtoto?
Wataalamu tunaomba ushauri wenu.Je kuna madhara gani kwa kutunga mimba wakati mwanaume akiwa anaumwa au anatumia madawa makali?Chukulia mfano anaumwa malaria,kifua,typhoide na anatumia dawa za magonjwa hayo.Je hii itaathiri mtoto?
jogi JF-Expert Member Joined Sep 25, 2010 Posts 25,556 Reaction score 25,342 Nov 1, 2012 #2 kichwa cha habari kina neno "mbimba", nikiisoma mistari silikuti hilo neno au ulimaanisha nini mkuu.
M Mkombozi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2008 Posts 844 Reaction score 476 Nov 1, 2012 Thread starter #3 Sorry ninamaanisha MIMBA