Mwanamtwa Kihwelo: Kaka yangu Jamhuri Kihwelo alitukejeli Yanga SC na kutupa Hasira iliyotufanya tucheze kwa Jihad na Kuwafunga

Mwanamtwa Kihwelo: Kaka yangu Jamhuri Kihwelo alitukejeli Yanga SC na kutupa Hasira iliyotufanya tucheze kwa Jihad na Kuwafunga

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
"Kitendo cha Kaka yangu Kocha Jamhuri Kihwelo kutukejeli ( kututania ) Wachezaji wa Yanga SC niliyoichezea kuwa tuna Miili Mikubwa kama Maghorofa ya Bima Tabata lakini hatuna Akili kilitupandisha Hasira na kutuongezea Ari Wachezaji wa Yanga SC na kutufanya tucheze kwa Nguvu zote ( Jihad ) na tukafaniwa Kuwafunga Goli 2 - 1 Uwanja wa Uhuru ", alisema Mwanamtwa Kihwelo a.k.a Dally Kimoko.

Taarifa: Sports Headquarters ya EFM jana.
 
Mtwa Kiwelo namkumbuka akicheza Tabora mjini enzi hizo na wenzake mahiri sana enzi hizo walikiwasha balaa na ulikua mpira kiwango kweli kweli ...marehem Saidi Mwamba,Saidi kagoma,Luwaga Kagoma,Abbas Mchemba na Saidi Kasanga...mungu awarehemu
 
Back
Top Bottom