Africans bado tuna safari ndefu sana, kuna mawili, moja kifo kimesababishwa na kichapo heavy kutoka kwa walinzi na pili yawezekana waliotaka kumuua raisi wapo ndani ya system so wameamua kumuua ili siri ibakie siri. Lakini pia kama raisi aliingia madarakani kwa kupundua wenzake unadhani yeye atatoka madarakani kwa njia gani? Kupinduliwa au kuuawa, pens down!!!!