Mwanamume kutokusikia raha wakati wa kufanya mapenzi

Mwanamume kutokusikia raha wakati wa kufanya mapenzi

Ugiligili

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2014
Posts
3,023
Reaction score
4,055
Kuna mdau wangu wa karibu sana (age 27) analalamika kuwa tangu amejaribu day 1 kufanya mapenzi hasikii kitu chochote kabisa ameshakuwa na mahusiano na wadada wanne mpaka sasahivi.

Sasa nimeshindwa kumsaidia kimawazo so nikaona si vibaya niliwasilishe humu ili wadau walijadili.

Asanteni
 
hapa tuanze kuhusu PUNYETO, unajua mashine ukiizoesha mkono siku ikiingia pangoni wala haisisimki maana ngozi ya mkono na ngozi ya pangoni ni tofauti kabisa.

pia maandalizi, je anafanya mapenzi akiwa willing kufanya hivyo? mwanamke naye lazima aoneshe mwitikio wa hisia kwa mwanaume ndio mechi itaenda vizuri.
tatu mawazo mengi/stress au depression kutokana na hali fulani aliyonayo.
zaidi ya hapo inabidi amwone daktari baada ya magojiano itajulikana tu nini tatizo, kama ni kuchoka haraka, homoni au vp maana yawezekana hajakuambia kwa kirefu.
 
JE BADO UNASUMBULIWA NA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME,UUME KUSINYAA,KUKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA ,VIDONDA VYA TUMBO,TUMBO KUJAA GESI,KUNA DAWA NA TIBA ZILIZOTENGENEZWA NA MIMEA ASILIA.NI KWA BEI Nafuu 0717556768 napatkana dar
 
hapa tuanze kuhusu PUNYETO, unajua mashine ukiizoesha mkono siku ikiingia pangoni wala haisisimki maana ngozi ya mkono na ngozi ya pangoni ni tofauti kabisa.

pia maandalizi, je anafanya mapenzi akiwa willing kufanya hivyo? mwanamke naye lazima aoneshe mwitikio wa hisia kwa mwanaume ndio mechi itaenda vizuri.
tatu mawazo mengi/stress au depression kutokana na hali fulani aliyonayo.
zaidi ya hapo inabidi amwone daktari baada ya magojiano itajulikana tu nini tatizo, kama ni kuchoka haraka, homoni au vp maana yawezekana hajakuambia kwa kirefu.

Punyeto wakati wasichana na wanawake wamejaa kila kona ya Tanzania wakisubiri wanaume? Huyu kijana ameathiriwa na kuangalia 'porn' kwenye net. Video nyingi zinatoa sauti iashiriayo mkunwaji anasikia utamu mno. First encounter ya huyu dogo haikuulilia!
 
sure mdau hapo nimekusoma...sasa aende kwa pschologist au doc wa kawaida cuz me nnavyohisi hii imeshaathiri pschology yake...
 
Back
Top Bottom