Theodora
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 802
- 571
Nimekuwa kwenye relationship ya up and down na nimeteswa kinoma. Tumezaa mtoto na huyu mwanamume lakini alivyosikia mi mja mzito akaanza kuwatongoza wanawake wengine na nikasikia anafunga ndoa. Dunia ajabu, familia ya yule dada walipata ukweli na wakamkataa. Baadaye akaanza kurudi kwangu lakini hata hamjali mtoto, hana kazi na nilikuwa namsaidia kwa kile kidogo ninachopata na ukumbuke kulea nahangaika mwenywe na ndugu zangu.
Sasa cha ajabu ni umalaya wake ambao hauna mpaka - yaani hana aibu. Sasa hivi bila aibu kaanza kutoka na dada nafanya naye kazi na kashampa uja uzito! Nimechanganyikiwa lakini wadau what would u do if you were me? Udhaifu wangu na kila siku najuta ni wema wangu - na hata mama aliniambia una roho nzuri lakini walimwengu wabaya kuwa makini.
My baby girl is wonderful and so special... na huwa nauliza why do good people suffer so?
Sasa cha ajabu ni umalaya wake ambao hauna mpaka - yaani hana aibu. Sasa hivi bila aibu kaanza kutoka na dada nafanya naye kazi na kashampa uja uzito! Nimechanganyikiwa lakini wadau what would u do if you were me? Udhaifu wangu na kila siku najuta ni wema wangu - na hata mama aliniambia una roho nzuri lakini walimwengu wabaya kuwa makini.
My baby girl is wonderful and so special... na huwa nauliza why do good people suffer so?