Mwanamume Malaya - Je ungekuwa wewe ungefanyaje?

its very funny.....
kwamba mwanaume hana kazi na bado amewpiga mimba
wanawake wawili......

this guy is my hero....
kwa jinsi ilivyo ngumu kupata mwanamke
wa kukujali ukiwa huna kazi.
he is stupid yes,but he is impressive also.

Huwa unanifurahisha sana uanapotoa maoni yako kwa kuangalia mbali zaidi. Hao wanawake wanaopenda wanaume wasiokuwa na kazi bado wapo kweli hapa mjini?
 


Pole sana ndio mapenzi hayo na kukuwa pia!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…