Mwanamuziki Rosa Ree Aibeba Tena Tanzania Kwa Hii Video yake Mpya...Itazame Hapa

Mkuu kuhusu kucheza na kamera, jaribu kuangalia karibia nusu ya wimbo wote, kwanza imechukua nusu, yani kuanzia kichawi hadi kwenye kiuno, pili kwenye location ya kwenye lile boma au Hall ilitakiwa yeye ndio aisumbue camera kila kona, na sio kukaa sehemu moja tu kana kwamba alikuwa kwenye korido hivyo asingeweza kujitanua, au ile camera ilikuwa imetegeshewa sehemu moja?
 
Beat limembeba. Kwenye ku rap na utunzi bado kuna vitu anamiss kuufanya muziki wake unoge kama Hiphop.
Alafu bado hajajua kucheza na camera, swaga za kubinua midomo, ili uonekane ndio mgumu zilishapitwa na wakati.
[emoji28] [emoji28] zilipendwa
 
Hilo ni tatizo la Director wa video sio yeye. Ukisema kutokucheza na kamera unamaanisha Mtu amezubaa , hajishughulishi. Ye kasimama tu na mara nyingi anatizama pembeni. Kama anaionea aibu kamera.
 
Bwana hii track ni mbupu balaa, nakuelewa sana Rosa, the industry wamepoteza jembe aisee...
 
Hii sio Kama zile mbili zilizo pita I mean hii ya kawaida ajakaza kuanzia Audi mpaka video
 
Hilo ni tatizo la Director wa video sio yeye. Ukisema kutokucheza na kamera unamaanisha Mtu amezubaa , hajishughulishi. Ye kasimama tu na mara nyingi anatizama pembeni. Kama anaionea aibu kamera.
Teheheheheh nilitegemea hili zigo ungemshusia "Director". Kuna clip moja hapa imegoma kuwa posted. Nilitaka uone ni jinsi gani msanii anavyotakiwa kuisumbua camera ili kupendezesha video.
 
Teheheheheh nilitegemea hili zigo ungemshusia "Director". Kuna clip moja hapa imegoma kuwa posted. Nilitaka uone ni jinsi gani msanii anavyotakiwa kuisumbua camera ili kupendezesha video.
Poa. Ikikubali nitumie niongeze elimu Ndugu.
 
Huyu dem atafika mbali sana kwanza anapenda anachokifanya alafu yupo tayari kujifunza
 
ukosoaji kwaajili ya positive changes sio wivu, angalia hata marapper wakike wa mbele, ushawahiona wanarusha rusha mikono?? man ( denoo49 ) anapoint nzuri tu
Lakini wimbo mzuri aisee sijui atoe kimtindo gan ili umsifie Hata kusema kajitahidi inatosha sasa unamkosoa utazan anamda mrefu kwenye game
 
Lakini wimbo mzuri aisee sijui atoe kimtindo gan ili umsifie Hata kusema kajitahidi inatosha sasa unamkosoa utazan anamda mrefu kwenye game

Ndo kajitahidi, but up in the air aliflow safi sana kuliko huu
 
Hiyo ngoma nimeikubali kama nilivyoikubali up in the air, beat ni kwikwi
 
Bado anarap kama mbele ndio kosa lake inabidi ajifunze kuwa na swag za kiafrica kidogo marapa inabidi wajifunze kwa sakordie
 
Beat limembeba. Kwenye ku rap na utunzi bado kuna vitu anamiss kuufanya muziki wake unoge kama Hiphop.
Alafu bado hajajua kucheza na camera, swaga za kubinua midomo, ili uonekane ndio mgumu au unafanya muziki wa kigumu zilishapitwa na wakati.
Wa Tz kwa uchambuzi tuko vizuri
 
WELL SAID MKUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…